Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamii inapenda kulaumu tu lakini there’s a story behind ya mdada ambaye anaonekana amechelewa kuolewa.. tena story ya kuumiza..
Wanaume wanaambiana huko 97% hawaoi wadada waliosota nao 😀😀 sababu kibaooo
Tunaona hata wengi wao wanavyowatreat kwenye ndoa hao wanawake waliohustle nao; full manyanyaso. Na wengine waliachwa kwa tabia mbaya; ila wanaishia tu kulaumu kuwa ukiwa huna pesa hakuna mwanamke atakayekupenda. Sasa uvumiliwe na mitabia yako kibaya kisa maskini? Na ndiyo hao hata akipata pesa anataka akutreat kama one of his object; imelala yooooooo
 
Tunaona hata wengi wao wanavyowatreat kwenye ndoa hao wanawake waliohustle nao; full manyanyaso. Na wengine waliachwa kwa tabia mbaya; ila wanaishia tu kulaumu kuwa ukiwa huna pesa hakuna mwanamke atakayekupenda. Sasa uvumiliwe na mitabia yako kibaya kisa maskini? Na ndiyo hao hata akipata pesa anataka akutreat kama one of his object; imelala yooooooo
Hii sindano hiii!
 
Back
Top Bottom