We ushakimbia ngapi? Sio wote wana tabia mbaya…Kweli mlikuwa serious. Vijana wa kileo baada ya mimba wangekimbia
Naomba kile cha grey full color 😋
Uchumba nao ukishakua sugu ndio utakuta vijana wanasema ni warm up. Poleni sana warembo, tunajua mnapiyia mengi sana.Mtumishi Mimi kwa upande wangu; mabinti wengi ninaofahamiana nao na wapo above 30; wengi wamejikuta umri huo bilabila kwa sababu ya uvumilivu/loyalty yao. Walianza mahusiano high school na wengine vyuoni na hao maboyfriend wakiwa na matumaini ya kuja kuspend the rest of their lives pamoja. So hata walipotokea watu wengine wenye nia za kuwaoa; wao walikataa kwa sababu waliamini tayari wana mahusiano yao serious yatakayozaa ndoa. Wanaume walipoanza kusimama kiuchumi ndiyo wengi walianza kuonesha makucha yao and eventually waliishia kuwaacha Wanawake wao wa zamani; wakaoa mabinti wapya kwao.
Wanawake Mungu atusaidie tu kwa kweli; unakaa na mtu mkihustle miaka na miaka afu unakuja kuachwa solemba. Umri umeshaenda jamii inakusimanga, huku bado unaonekana ni malaya umetumika miaka mingi na ex wako. Ila pia ungemuacha huyo mwanaume wakati bado hajiwezi kiuchumi, ukaenda kuolewa kwingine; ungelaaniwa hadi makaburi ya kwenu teh. Sio tu Wanawake hatujui tunachotaka, hata wanaume hawajui pia wanachotaka. Na kiukweli wapo wanaume wengi tu ambao wameoa bado uchumi wao ukiwa unasuasua; ila bado comments za wanaume zitakufanya uhisi wote waliooa eana hela; hakuna wanaume waliooa ambao hawana hela.
🤣🤣🤣Uchumba nao ukishakua sugu ndio utakuta vijana wanasema ni warm up. Poleni sana warembo, tunajua mnapiyia mengi sana.
View attachment 2195394
Kwa kweli tutapoa tukifika mbinguni. Huku duniani tuchambeni tuUchumba nao ukishakua sugu ndio utakuta vijana wanasema ni warm up. Poleni sana warembo, tunajua mnapiyia mengi sana.
View attachment 2195394





Wee mie kichaa tu nina madhambi yangu kibao!!!🤔🤔 sema kuna umri nilicharukaga kweli kweli ila saivi nimetulia nalea ndoa wanaume wenyewe wachache 🤣🤣😂😂😂! Akiniponyoka nahawa watoto wawili sijui nitafanyeje Sitaki tena ujinga mbona!!Mjeda amepata anayetoka kwa bwana
Lime like huko

Mkuu mimi sio mkimbiaji. Wakimbiaji obvious wanakuwa na tabia mbaya hata wanapoingia kwenye ndoa.We ushakimbia ngapi? Sio wote wana tabia mbaya…
Nina shost angu bf wake alimwambia ukithubutu na wewe nitakuua.
Kama ulikuwa unasoma kwanini ulinikubali? Hahaaa nyieee
Sahivi mtoto anatumwa dukani
Upo upo badoWewe hata picha hutaki weka utapataje mrembo humu?


Kanisani anaenda..With such a big call; Mtumishi wa Mungu ilikuwaje akachagua mwanamke wa aina hiyo hata kama ke alifake kuwa mwema? Ila Watumishi nao wana mapito jamani, Mungu awasaidie
Hello THello
Eeeh wapo wengi tu. Kila mtu anakwenda kanisani na agenda yake.Kanisani anaenda..
Ukimkuta hautaweza kumdhania..
Unajua kanisani nako Kuna watu ambao si wa kanisani🙃
Si utulieAtakuja atatuambia kaeni kwa kutulia alafu kimya![]()
Tena kanisani ndio unapaswa kuwa makini sana, yaani uwe wa rohoni sana vinginevyo unaingia chaka.Kanisani anaenda..
Ukimkuta hautaweza kumdhania..
Unajua kanisani nako Kuna watu ambao si wa kanisani🙃
Jamii inapenda kulaumu tu lakini there’s a story behind ya mdada ambaye anaonekana amechelewa kuolewa.. tena story ya kuumiza..Mtumishi Mimi kwa upande wangu; mabinti wengi ninaofahamiana nao na wapo above 30; wengi wamejikuta umri huo bilabila kwa sababu ya uvumilivu/loyalty yao. Walianza mahusiano high school na wengine vyuoni na hao maboyfriend wakiwa na matumaini ya kuja kuspend the rest of their lives pamoja. So hata walipotokea watu wengine wenye nia za kuwaoa; wao walikataa kwa sababu waliamini tayari wana mahusiano yao serious yatakayozaa ndoa. Wanaume walipoanza kusimama kiuchumi ndiyo wengi walianza kuonesha makucha yao and eventually waliishia kuwaacha Wanawake wao wa zamani; wakaoa mabinti wapya kwao.
Wanawake Mungu atusaidie tu kwa kweli; unakaa na mtu mkihustle miaka na miaka afu unakuja kuachwa solemba. Umri umeshaenda jamii inakusimanga, huku bado unaonekana ni malaya umetumika miaka mingi na ex wako. Ila pia ungemuacha huyo mwanaume wakati bado hajiwezi kiuchumi, ukaenda kuolewa kwingine; ungelaaniwa hadi makaburi ya kwenu teh. Sio tu Wanawake hatujui tunachotaka, hata wanaume hawajui pia wanachotaka. Na kiukweli wapo wanaume wengi tu ambao wameoa bado uchumi wao ukiwa unasuasua; ila bado comments za wanaume zitakufanya uhisi wote waliooa eana hela; hakuna wanaume waliooa ambao hawana hela.
Lakini Kwa mtu aliye makini ni rahisi kujua mtoto wa kanisani ni yupi na yupi siyo.Eeeh wapo wengi tu. Kila mtu anakwenda kanisani na agenda yake.
Marry me…………… au basi 🙄Mkuu mimi sio mkimbiaji. Wakimbiaji obvious wanakuwa na tabia mbaya hata wanapoingia kwenye ndoa.