Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu hudhan tunachagua , lkn huweza vaa kiatu n kiatu et kisa unashda na kiatu. Yapasa upate kiatu saiz yako ili kiskubane njian ukakivua ukaanza tembea peku, ndoa n safar ndefu kabla ya kuianza yapasa kujipanga haswa usje kuishia njiani.

Hatuchagui bali tunasubir sahh kwa wakati sahhi .......
Id ya zamani

Nani vile
 
Aisee kumbe
mimi naona watanisumbua maana yeye kila siku wadada wanamshobokea tena awe smart na apake marashi mazuri aisee hapo wadada hawakauki ,yeye anajichotea tu .

Ensamu face hawajahi kuwa chaguo langu , mimi mwenyewe nipo rough hivi nawezaje kuwa na mwanaume mzuri hivyo .

Ebu tuone picha kwanza ndo ujitoe kwenye group la ensamu face.. halafu mimi sio mrembo wala nini .

Halafu cha kushangaza asilimia kubwa ya handsome men huwa wana end up na wanawake wa kawaida sana...
 
Naona wewe tayari ushafunga ukurasa, unalea tu sasa.
kitambo sana...nilitaka kuolewa nilipomaliza form 6 ndugu wakakataa bado mdogo.... akasubiri huku tunaiba iba ila nikama nilikua nimeolewa nae tu kwani likizo zote za chuo muda mwingi nilikua naenda kwake ananihudumia kama mkewe Ndugu zake wanajua wangu wanajua.. 3rd year akanitundika mimba! Na tukafunga nae Ndoa rasmi 2016! Sasa tuna watoto wawili
 
Back
Top Bottom