Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanaume waoaji wapo, sema waolewaji vigezo mob. Tutapinga hadharani lakini ukweli ndio huo….

Kuna mtoto wa mtu hapa ananielewa mwenyewe, anasema fanya mpango tuhalalishe.. lakini mimi ndiyo naona kama he doesn’t fits kwenye vigezo vile si unajua
Siwezi kumwambia kwamba hatuendani, naishia tu kumwambia I CANNOT MARRY MY COLLEAGUE.
Thenki yu !!!

Karibia wote waliovuka 30 bila kuolewa ishu zao zinafanana. Kuna mabraza mob waliotaka kuwaoa wakati wa kilele cha ujana wao (18-25; 26-29) lakini mabraza hao hawakukidhi vigezo vyao - ama vya kimwonekano (tall dark guy) au kiuchumi (gari, kazi, nyumba). Kipindi hiki ni kipindi ambacho mabinti wengi wanakuwa very arrogant. Kuna mmoja nilitaka kumuoa lakini aliishia kunicheka tu. Hata sisi wanaume huwa tunaumia sana. Unampenda sana mtu lakini ndo utasikia we siyo type yangu; au subiri kidogo kwa sasa siko tayari kumbe amekuona hufai kwa vile tu bado unapambana.

Na tatizo ni kwamba katika umri wa 18-30 hata mpaka 35 huko wengi wetu tunakuwa bado tunahangaika na maisha. Lakini mabinti wao wanataka mtu ambaye tayari keshajiimarisha. Na kweli wanachukuliwa na hao wenye kukidhi vigezo vyao vya wakati ule. Na wapo wanaoolewa na wapo wengi tu wanaoachwa. Ndo hawa sasa akija kushtuka oops yuko 30+. Na vigezo ndo kidogo vinaanza kupunguza makali sasa.

Wengi tu mlishakataa mabraza kibao waliotaka kuwaoa kwa sababu hawakuwa na vigezo vyenu mlivyovitaka. Lakini ukiuliza utasikia ooo nilikuwa naye akanicheat...na always makosa ni ya mwanaume.

Tuwafundishe mabinti zetu kuangalia utu wa mtu kama inawezekana. Some of you have lost real good men and soulmates kwa sababu tu wakati ule hawakuwa vile mlivyotaka wawe kiuchumi...

But again; life is a process of making choices and living with the consequences of those choices.

Na swali la muhimu zaidi ni hili: Ni lazima kuoa/kuolewa? Kwani mtu ukiishi tu kivyako bila kuoa/kuolewa kuna tatizo gani?
 
Ndugu bado sijakutana na hizo mambo za kupata maswali ya kukera.

Nina dada tu ambaye kanambia dogo ukiolewa shela na gari juu yangu

Nina baba mkubwa ye anaulizaga mkwe wetu yuko wapi, nacheka tu yanaisha. Ananiambia usinionee aibu mimi mambo ya kitanzania sina . .. yeye huyu amespend muda mwingi nje


Ooh sawa ila wakiamua sasa
Yaani sisi kwetu ndugu wamechamaa hao
Juzi tu hapo wananiambia mama yako alilolewa akiwa 23 wewe sasa hivi una ngapi ungekuwa na watoto wawili sasa duh .
 
Back
Top Bottom