Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha mechi ya jana ulibet ?
Aisee mpira hautabiriki
Unaongelea hii gem mrembo?
Dah,acha tuuu mpira unadunda.
c0de9c1b7bec4b8b8f05e6189b4cb920.jpg
 
Ila hawa watu wanao pressurize ndoa jamani
Mtu haumfahamu lakini anavyokujibu sasa
" Bado hujaolewa eeh , wewe endelea kuchagua tu , utazeekea nyumbani " .
Haya maneno yanaumiza sana aisee .
Na

Mnachagua hatari

Awe na hofu ya Mungu


Sitaki mlevi

Nataka ensam

Asiwe kibamia na bla bla kibao

Mtazeekea hom nawaambia
 
Na

Mnachagua hatari

Awe na hofu ya Mungu


Sitaki mlevi

Nataka ensam

Asiwe kibamia na bla bla kibao

Mtazeekea hom nawaambia

Ah wapi
Hatuchagui kihivyo mbona sema wanaume wenyewe wazinguaji ..
Unajua mtu yuko serious kumbe anataka hit and run .

Weh hapana hatatuzekea nyumbani
It shall never be my portion in IJN

Handsome face hao wanashida aiseee unaweza kupata headache za bure .. ya nini kujipa stress .
 
Ila hawa watu wanao pressurize ndoa jamani
Mtu haumfahamu lakini anavyokujibu sasa
" Bado hujaolewa eeh , wewe endelea kuchagua tu , utazeekea nyumbani " .
Haya maneno yanaumiza sana aisee .
Kwa hiyo ukubali tu kuolewa kisa mtu anataka kukuoa hata kama unaona kabisa hiyo ndoa itakuwa na shida kubwa?

Kila mtu mwisho wa siku alichagua mtu aliyeona yeye anamfaa kwa vigezo vyake Hakuna mtu mwenye akili who can throw her life anyhow, lazima uangalie ni nani unamkabidhi maisha yako na kwa sababu gani. Hapo ukurupuke kuolewa kisa umri, uende ndani yakushinde afu m-divorce; bado watakuchamba hadi ukome. Relax babes; "Time and Chance happenneth to them all" Ecclesiastes 9:11.
 
Ah wapi
Hatuchagui kihivyo mbona sema wanaume wenyewe wazinguaji ..
Unajua mtu yuko serious kumbe anataka hit and run .

Weh hapana hatatuzekea nyumbani
It shall never be my portion in IJN

Handsome face hao wanashida aiseee unaweza kupata headache za bure .. ya nini kujipa stress .
Kumbe handsome boys wana wavuruga akili na mbususu zenu
 
Kwa hiyo ukubali tu kuolewa kisa mtu anataka kukuoa hata kama unaona kabisa hiyo ndoa itakuwa na shida kubwa?

Kila mtu mwisho wa siku alichagua mtu aliyeona yeye anamfaa kwa vigezo vyake Hakuna mtu mwenye akili who can throw her life anyhow, lazima uangalie ni nani unamkabidhi maisha yako na kwa sababu gani. Hapo ukurupuke kuolewa kisa umri, uende ndani yakushinde afu m-divorce; bado watakuchamba hadi ukome. Relax babes; "Time and Chance happenneth to them all" Ecclesiastes 9:11.
Ooh Asante sana kwa neno hili
Umenena vyema aisee .. mambo mengine hayahitaji haraka kabisa .

Sema jamii inayotunguka ndo shida maana kila unapoenda hilo swali huwezi kuliepuka kabisa bado ndugu nao watakuuliza vipi kulikoni ?
Bado hapo unaona rafiki zako wana familia zao
Wewe upo .. hakika si rahisi unaweza kuanza kujiona kama una nuksi fulani hivi wakati sio .

Kikubwa ni kuwa mvumilivu na kusubiri muda sahihi ukifika .. mambo mengine hayawezi kubadilika katika jamii zetu .

A quote from Dada Vaswani
Marriage is a commitment for life.. It is a permanent, lifelong relationship.
 
Back
Top Bottom