Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Wa humu sina noma nae.Kha kweli ndio maana hutaki wa jf....walishakuumiza. pole mrembo
Wa humu sina noma nae.Kha kweli ndio maana hutaki wa jf....walishakuumiza. pole mrembo
Mimi natamani japo niambiwe lolote kuhusu hayo mambo ila hakuna aliyewahiDuh
Hao wamezidi aiseee
Mimi niambiwe hivyo!! Na haka kamdomo? Sijui aisee![]()
Unaongea na mama tu aiseeHeee
Dogo Mimi siyo mdogo kiumri.
Ila Kwa familia yetu Mimi ndio mdogo ..
Sijui huwa wanaogopa hata sielewi.
Basi na mimi najikuta Sina confidence ya kusema chochote
Hata nikipata mchumba sijui itakuwaje aisee..sijui nitamuomba mtu anisemee![]()
NadhaniItakuwa test zimekapambisha moto
Mama yangu mwenyewe anaongeaga tu mambo mengineUnaongea na mama tu aisee
Sie wenye baba tu ndo mtihani kuwafuta na kuwaambia ..
nitamwambia nani?Ooh yeahMiaka ya nyuma ni tofauti na sasa aisee.
Zamani waliwahi kuolewa mno na kuoa
Sawa mzeeSasa kwa nini mrembo uteseke wakati mie nipo naweza kukupa tulizo la moyo na ukizingatia kama handsome boys ulishaenjoy nao vyakutosha...njoo utulie na sie sura za kazi![]()

NikuibieEti eeh
Tutakung'oa hizo kapu sikio lichomoke![]()
Ila siku hizi maisha ya mahusiano ni magumu sanaOoh yeah
Hawakupata stress hizi mara uachwe , mara hupendwi .
Na miaka yako 21 nani akuambie? Ila wanapaswa wakushtue esp. Kwenye kuwa makini…Mimi natamani japo niambiwe lolote kuhusu hayo mambo ila hakuna aliyewahi
Hata mmoja.
Unabaki tu kimya dearDuh
Hao wamezidi aiseee
Mimi niambiwe hivyo!! Na haka kamdomo? Sijui aisee![]()
Mimi msala wa makapu hauwezi Nikita..Nikuibie
Ukiona najibishana bampa tu bampa humu ujue niko ghetto nimechill…
Mazingira mengine!? Home, kwa watu or muhindi!! Siwezi
Nitakupuuza tu..
Shindwaaa msichana 🤣 sivai kapu mie
Kwanza sijatoboa.. makapu yenu huko na wenzio 🤣
Yaani wewe dogo bwana...Na miaka yako 21 nani akuambie? Ila wanapaswa wakushtue esp. Kwenye kuwa makini…
Kwahiyo ni moto juu ya moto..Unabaki tu kimya dear
Yaani ni balaa , nabaki kucheka mie nimewazoea
Narudi tena boda boda na yeye ananiambia ..
Hata sitokuja 🤣Ukivuka 30 utakuja kutusimulia hapa jf
Miaka hii hadi mtu umalize shule uanze kujipanga.Ooh yeah
Hawakupata stress hizi mara uachwe , mara hupendwi .
Mama yangu mwenyewe anaongeaga tu mambo mengine
Hajawahi hata..
Nina dada kibao,hakuna aliyewahi niambia.
Nafikiria kwa mfano nimepata mtu,sijui itakuwajenitamwambia nani?
Na nitaanzia wapi??
🤣🤣🤣🤣Bora usije maana nitakunanga na hiyo statement yako ya single but not singleHata sitokuja 🤣
🤣🤣🤣 wanakuoneaUnabaki tu kimya dear
Yaani ni balaa , nabaki kucheka mie nimewazoea
Narudi tena boda boda na yeye ananiambia ..