Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi hapana sijui kwa wengine
Itakuwa wewe una uhandsome fulani eeh tuone selfie yako .
🤣🤣🤣🤣 Sio wewe tuu muulize Kelsea pia anasema ensamu boys wamemtesa sana ila wanazipelekea mbususu moto vizuri.

Wee ningekuwa handsome boy mbona wee ningekuwa nilishakupanutamu wa ukuni na ulivyo mrembo
 
Sio wewe tuu muulize Kelsea pia anasema ensamu boys wamemtesa sana ila wanazipelekea mbususu moto vizuri.

Wee ningekuwa handsome boy mbona wee ningekuwa nilishakupanutamu wa ukuni na ulivyo mrembo

Aisee kumbe
mimi naona watanisumbua maana yeye kila siku wadada wanamshobokea tena awe smart na apake marashi mazuri aisee hapo wadada hawakauki ,yeye anajichotea tu .

Ensamu face hawajahi kuwa chaguo langu , mimi mwenyewe nipo rough hivi nawezaje kuwa na mwanaume mzuri hivyo .

Ebu tuone picha kwanza ndo ujitoe kwenye group la ensamu face.. halafu mimi sio mrembo wala nini .
 
Aisee kumbe
mimi naona watanisumbua maana yeye kila siku wadada wanamshobokea tena awe smart na apake marashi mazuri aisee hapo wadada hawakauki ,yeye anajichotea tu .

Ensamu face hawajahi kuwa chaguo langu , mimi mwenyewe nipo rough hivi nawezaje kuwa na mwanaume mzuri hivyo .

Ebu tuone picha kwanza ndo ujitoe kwenye group la ensamu face.. halafu mimi sio mrembo wala nini .
Handsome boy ni nyama ya hamu jamani...mbona mnazikatili nafsi zenu.
Ata sie sura za mbuzi mbona hatutulii na mbususu moja.
Wee kama handsome boy amekupagawisha enjoy nae tuu
 
Handsome boy ni nyama ya hamu jamani...mbona mnazikatili nafsi zenu.
Ata sie sura za mbuzi mbona hatutulii na mbususu moja.
Wee kama handsome boy amekupagawisha enjoy nae tuu

Hahaha hatutaki stress sie ...sura za kazi ndo mpango mzima .
Na nyie hamtulii kihivyo sema nyie hamringi wala nini tunawavumilia kiubishi
 
Selfika

20220421_094550.jpg
 
Ila hawa watu wanao pressurize ndoa jamani
Mtu haumfahamu lakini anavyokujibu sasa
" Bado hujaolewa eeh , wewe endelea kuchagua tu , utazeekea nyumbani " .
Haya maneno yanaumiza sana aisee .


Watu hudhan tunachagua 😔😔😔😔, lkn huweza vaa kiatu n kiatu et kisa unashda na kiatu. Yapasa upate kiatu saiz yako ili kiskubane njian ukakivua ukaanza tembea peku, ndoa n safar ndefu kabla ya kuianza yapasa kujipanga haswa usje kuishia njiani.

Hatuchagui bali tunasubir sahh kwa wakati sahhi 😊😊😉.......
 
Back
Top Bottom