Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sasa mwili wenyewe wa kupiga uko wapi??😂😂😂Wewe huyo huyo🤒🤒
Sasa mwili wenyewe wa kupiga uko wapi??😂😂😂Wewe huyo huyo🤒🤒
Ndio maana yaKumbuka ulituahidi ukitoka church ijumaa utaweka picha,bado nasubiri utoke church...

Kweli pasaka na mambo mapya Mtaalam
Halafu huu mwandikoHivi hajatoka kanisani hadi leo huyu
Haya bhanaSasa mwili wenyewe wa kupiga uko wapi??😂😂😂
ShangaziNaona bado,tuendelee kusubiri ndugu yangu![]()

Vipi sasa kuhusu ubwabwa??Haya bhana
Wewe sio rafiki mzuriShangazi![]()
Hii

Hapo kwenu hamlagi ubwabwa!Vipi sasa kuhusu ubwabwa??
Umetuchomesha mahindi toka ijumaa jamaniNini mbaya
Sema usikike rafiki![]()

Hii
Sahani ni mpya
Halafu
Unapenda sana kula wali![]()

Unajua utamu wa ubwabwa wa kwenye sherehe wewe?Hapo kwenu hamlagi ubwabwa!
Acha ubishi





Kuwa mpoleUmetuchomesha mahindi toka ijumaa jamani![]()

Muandiko umefanyaje rafiki?Kuwa mpole
Lakini huu mwandiko
Ngoja nitaupatia ufumbuzi
LalaUnajua utamu wa ubwabwa wa kwenye sherehe wewe?![]()