Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habari za uzima babuu!!✋✋ leo hujaenda shamba utupiepo tuone???
Nina siku mbili nimeshindwa kwenda shambani, mgongo una nisumbua sana Mjukuu. Niliongea na wenzako wanasema ni zamu yako kuniletea dawa za kuchua.

Fanya mpango uniletee hizo dawa niweze kujichua mwenyewe, wazee hatuwezi kukaa bila kufanya kazi 🤪🙊
 
😂😂😂
Nilale mie walking 🚶🏻‍♀️
Niwaaaacheee

Nakupuuza😂😂😂

20220419_213806.jpg
 
Back
Top Bottom