Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Sawa D.E 😅😂😂Tuachie boss wetu aisee
Usimvuruge kabisa
Mwache afanye mambo chap aachie mzigo hata kesho aiseee
Wewe panga kwanza kagodauni kako hapo![]()
Napanga 🤣🤣 na venye ilivyo simple 😍
Sawa D.E 😅😂😂Tuachie boss wetu aisee
Usimvuruge kabisa
Mwache afanye mambo chap aachie mzigo hata kesho aiseee
Wewe panga kwanza kagodauni kako hapo![]()
Za wasap alisemaSi nyie mmemtisha ooh ban na blah blah zenu kibao.
Ban gani sasa??
Mbona huwa tunaweka mara nyingi screenshots hapa.
Mdogo etu nimeanza kukuambukiza utukutu?![]()
Asante, ka mwili portable Christine1 kwa muhindi muuza ubuyu.
Wanakupumzisha kama zina nia ya kuumiza mtu.Za wasap alisema
Hizo mod wanakupumzisha wakikuotea.. kumbuka Queen of Sheba.
Nina siku mbili nimeshindwa kwenda shambani, mgongo una nisumbua sana Mjukuu. Niliongea na wenzako wanasema ni zamu yako kuniletea dawa za kuchua.Habari za uzima babuu!!✋✋ leo hujaenda shamba utupiepo tuone???
😂😂😂Eeeeh
Niwaaache nile
Nimekumiss sana
Hivi upo?
Kama upo nakusalimia tu mimi
Ila sio kwamba sivai flat,navaa napokuwa na mishe na mizungukoOoh sawa
Ushazoea hivyo ..itakuwa hauna mizunguko mingi .
Mbona siku ya accessories haiji,nasubiri....


wale wapenda hereni jmn,hata kesho poa tuYes yuko vzr sanaFundi wako anakupatia....![]()
Mtasifia mafundi bure tu. Nyie vimodo hata mtu awe hajawahi kushika cherehani akiwashonea mnapendeza tu!![]()
thubutu kakwabia nani?utalambwa ban
Na watao like wote ban
Watakao reply wote ban
Mtapotezwaa![]()


Mjomba mimi sina bahati na mafundi wa kushona kabisa,ndio maana sipendi nguo za kushona sana maana huwaga wananitolea mifuko ya mashine sasa sijui ni hii namba tisa?![]()


mifuko ya mashine,jmn
pole sanaOoh sawaIla sio kwamba sivai flat,navaa napokuwa na mishe na mizunguko
Ila church, event ni high heels tu
Mjomba mimi sina bahati na mafundi wa kushona kabisa,ndio maana sipendi nguo za kushona sana maana huwaga wananitolea mifuko ya mashine sasa sijui ni hii namba tisa?![]()







Usichelewe!Nakuja