spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Hadi usingizi umeniisha.Dada
Mzima?
Habari za nyumbani shem wangu
Nisingepata usingizi leo bila kukuskia.Hadi usingizi umeniisha.
Mzima kabisa mdogo angu kipenzi, nyumbani tupo salama kabisa, unaendeleaje wewe? Ulimissika kupitiliza
Ubarikiwe pia mdogo angu.Nisingepata usingizi leo bila kukuskia.
Ubarikiwe sana wewe na baba mtumishi mwenzangu.
Sina wasiwasi wowote pisi Saint Anne huwa inafikisha salamu zangu
Ubarikiwe pia mdogo angu.
Kwa kweli pamoja na bangi zake zote; huwa ananifikishia salamu zangu kwa uaminifu. Nashukuru sana
Salamu za dhati kutoka kwa familia yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app


Nimeamka bana
Mkuu tupo wawili tu hapa weka basi mojaaNimeamka bana
Unanipuuza!? Ni jeuri ya shibe au
Rudi ulale
Nimeamka bana
Unanipuuza!? Ni jeuri ya shibe au






Kwa kweli pamoja na bangi zake zote; huwa ananifikishia salamu zangu kwa uaminifuUbarikiwe pia mdogo angu.
Kwa kweli pamoja na bangi zake zote; huwa ananifikishia salamu zangu kwa uaminifu. Nashukuru sana
Salamu za dhati kutoka kwa familia yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeamka poa kabisa…
Umeamkaje hapo godauni mdogo wetu???
Kuna watu niliwaambia hii mechi tushaimaaliza kabla hatujacheza.
Nipo hapa nacheki kagodauni kangu juu mpaka chiniNimeamka poa kabisa…
Kumekucha, kama nakuona na makapu yako

HahaaaaaaKwa kweli pamoja na bangi zake zote; huwa ananifikishia salamu zangu kwa uaminifu
.......
Mbengooo utaisekeeeeaaaaaaaaa
Haifongokiiiii
Nilifuata maagizo yako nikalala.Lala


🤣🤣🤣 ukumbuke na kukapanga vizuri, mikoba uondoe dirishani.Nipo hapa nacheki kagodauni kangu juu mpaka chini
Natafakari namna wametutusi watu wa stoo![]()
Itakuwaje sasa na kabati sina?ukumbuke na kukapanga vizuri, mikoba uondoe dirishani.
Stoo isn’t such a big deal, kuna stoo nyingine ni hall.. mpaka uwanja wa zoezi unapatikana… makapu jamani makapuuu…. Nilikufa mbavu![]()



