Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Ila ni mpaka wakukute, incase mtu akureport… na waone unaleta mambo ya private jukwaaniAlaa kumbe Ndiomana niliomba ushauri kwanza asante!
Ni kisu paaaaap..ila inategemea na kismati chako.
Ila ni mpaka wakukute, incase mtu akureport… na waone unaleta mambo ya private jukwaaniAlaa kumbe Ndiomana niliomba ushauri kwanza asante!
Utaona hapohapo mie sio muongeaji sana mkuu!Mkuu hizo screenshot zinahusu nini?
Hivi hajatoka kanisani hadi leo huyu


Poapoa...... asante mkuu wacha tuendelee kuselfika basi!Zikaushie tu ili uendelee kuselfika humu JF
😂 utalambwa banSio pm ni comvo za WhatsApp!!
Asante asee kumbe!😂 utalambwa ban
Na watao like wote ban
Watakao reply wote ban
Mtapotezwaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nikwambie kitu kipenzi kamwe usitafute kuaminiwa na watu bali jiaminishe kwa Mungu kwa maana yeye ndiye anayejua ya siri.Wana selfika hivi Mtu akiweka screenshot hapa atapigwa ban??? Mie sipendagi maneno mengi Huwa naongea kidogo ila ni Mtu wa ku act sana! Naombeni mwongozo kwanza bado naipenda jf!
Nikwambie kitu kipenzi kamwe usitafute kuaminiwa na watu bali jiaminishe kwa Mungu kwa maana yeye ndiye anayejua ya siri.
Katika haya maisha nishakataa ujinga wa kupruvisha wrong kwa yeyote, unless niwe nakuheshimu sanaaaaaa.Asante asee kumbe!

Mtasifia mafundi bure tu. Nyie vimodo hata mtu awe hajawahi kushika cherehani akiwashonea mnapendeza tu!![]()


Kipo kimejaa tele kinaunganishwa na dakuAsante mdogo wangu !!! Umeniachia iftar lakini??!!
Halafu haikuwa ya kumuaminisha mtu hata
ok ok.ok nimekuelewa
🙏🙏🙏🙏
Good girlMweee nimeacha
Ubwabwa naupenda nyie
😂😂😂Ile ulipo nipo mpendwa imenifanya niwe mtoto mwema najua unapita kimya kimya🙆🏾😂😂😂😂Umenipea nyundo ya utosi mpendwa![]()
Shingo sasa nzuri 😍Usiku mwema wapendwa!!!!! View attachment 2193297
Ulisema utatuma uliyosimama aunt! Fanya wepesi Kabla sijatoka online Jamani!Mjomba mimi sina bahati na mafundi wa kushona kabisa,ndio maana sipendi nguo za kushona sana maana huwaga wananitolea mifuko ya mashine sasa sijui ni hii namba tisa?![]()