Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Hahaaa sawa dearAfrican woman...!!!!! !!
[emoji3577][emoji3577] unapendeza kuimba injili!!
Yes,iam
Praise n worship ....karibu love[emoji120][emoji120]
Hahaaa sawa dearAfrican woman...!!!!! !!
[emoji3577][emoji3577] unapendeza kuimba injili!!
🙆♀️🙆♀️Anayekuchanganyia habari ni nani?
Au ulianza mwenyewe kuzichanganya?
Kwani kuna mtu amekamata simu yako usitume picha?
Hapa ni weaving ssUnywele sasa[emoji7]
Ooh sawaSipendi
Siwi smart
Hakuna pahala Simeongelea new kapo wala new bakuli ! Niwache pullliiizzzzzzzzzzzzzzz sina muda nawewe.Heee
Sisi tulikuwa tunaongelea new kapo in town
Wewe ile inakuhusu nini??
Wewe Dada,sisi tulichofanya ni kuchanganya zaidi mambo uliyoyachanganya mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha haaa
12th break up, oga urudi sokoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada nyamaza basi mdogo wanguHeee
Sisi tulikuwa tunaongelea new kapo in town
Wewe ile inakuhusu nini??
Wewe Dada,sisi tulichofanya ni kuchanganya zaidi mambo uliyoyachanganya mwenyewe.
Mashallah 🥰🥰😍😍Hapa ni weaving ss
Kwa mara ya kwanza nilisuka
Sisi ndio tuliokuwa tunaongelea new kapoHakuna pahala Simeongelea new kapo wala new bakuli ! Niwache pullliiizzzzzzzzzzzzzzz sina muda nawewe.
Mie Nakupuuzia [emoji2210][emoji2210]
Acha ukorofi vinginevyo hutokula ubwabwa wa harusiYeye mwenyewe aliwaruhusu watu wamuulize maswali aiseee
Asitusumbue kabisa🤣🤣🤣🤣
Hey!vunga basi inatosha.Sisi ndio tuliokuwa tunaongelea new kapo
Sasa wewe kilichokukereketa hasa ni nini?
Hakuna sehemu tumekushika mbona,tukuwache vipi na wakati hatukakukamata jamani?
Wewe huyuhuyu?[emoji23][emoji23] huyo mchochea moto atanionea huruma, ataona tu wamenisingizia
Mweee nimeacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969]Acha ukorofi vinginevyo hutokula ubwabwa wa harusi
Next time
Ndio nini[emoji848]
Fanya kutubariki bhana
Eeh shangazi
Ahsante Jehovah uuhMweee nimeacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969]
Ubwabwa naupenda nyie
Hivi hajatoka kanisani hadi leo huyuKumbuka ulituahidi ukitoka church ijumaa utaweka picha,bado nasubiri utoke church...
Silent killer upo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante Jehovah uuh
Baba Mchungaji amesema soon utakuwa prayer point yake.Mama Mchungaji katika ubora wako! Simple, elegant, gojazi, classic! Hivi ulisema Baba Mchungaji naye yuko nje ya nchi ama? [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Nimekata
Ila ni kirefuuu[emoji3]