Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Usiwaze babu vipi nikuletee Usiku juu ama keshoNina siku mbili nimeshindwa kwenda shambani, mgongo una nisumbua sana Mjukuu. Niliongea na wenzako wanasema ni zamu yako kuniletea dawa za kuchua.
Fanya mpango uniletee hizo dawa niweze kujichua mwenyewe, wazee hatuwezi kukaa bila kufanya kazi![]()




!!??








