Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Tupe hints kwenye nywele aisee maana dada una uhair hatari .
Relaxer gani unatumia ?
Huwa unafanya deep conditioning ?
Nataka kujua pia,tupia na hair products unazo tumia
Tupe hints kwenye nywele aisee maana dada una uhair hatari .
Relaxer gani unatumia ?
Huwa unafanya deep conditioning ?
Na huwezi amini kwa sshv zimekatika sana tu,japo kwa asiyenifahamu anaona bado nina nywele! Ofcoz bado zipo sana sbb nina asili tu ya nywele!Tupe hints kwenye nywele aisee maana dada una uhair hatari .
Relaxer gani unatumia ?
Huwa unafanya deep conditioning ?
@christine1Nataka kujua pia,tupia na hair products unazo tumia
naomba apple 😜😜Late lunchView attachment 2180594
Omba tuonane
Michongo yani.. upo na ka Depal
Maana alitoboa akiwa mdogo mdogo hivi 10yrsDah jamani inasikitisha
Alitoboa wapi yeye ? Pole kwake sana
15 years ni miaka mingi aisee .. Mungu ni mwema hakika atamponya .
Nadhani inategemea na mwili wa mtupole yake,hiv huwa yanasababishwa na nn yale madude?
Na huwezi amini kwa sshv zimekatika sana tu,japo kwa asiyenifahamu anaona bado nina nywele! Ofcoz bado zipo sana sbb nina asili tu ya nywele!
But shida kubwa ni kupata dawa itakayokupenda,mi nilikuwa natumia Olive oil ya box ambayo kwa ss haipo kabisa,wameleta olive mpya ambazo mi zimenikataa kabisa !
Sijui steaming,conditioner skuwahi kuhangaika na hivyo vitu!
Nilichofanya nimerudi kwenye' Revlon' baada ya kuhangaika! Ni dawa ya zamani haina mambo ya kuchakachua sijui nn!
.Kwa ss nimerudi kwenye Revlon, but nilikuwa natumia olive oil full,ile ya box inakuwa na kila kitu!Nataka kujua pia,tupia na hair products unazo tumia
Nawapenda walio tobea kitovu, masikio, pua na ulimi.. wanao toboa paka nawaonea huruma sanaUjasiri wako tu kwa maana kuna watu wanatoboa ulimi ,kitomvu hadi papuchi (pirced pussy )
Mfano kama
Makayla Cox , Jasmine jae, Devinn lane etc
Nishawahi nunua sehemu nilikuta zinauzwa.Ooh kweli maana hujazoea kuzivaa .. unaweza kuanza kuzivaa kidogo kidogo utashangaa umezizoea tayari .
Sana sana kuzipoteza ndo rahisi sana , umerudi zako hoi huelewi hili wala lile unaziweka tu popote .

Aisee nimemuonea hurumaMaana alitoboa akiwa mdogo mdogo hivi 10yrs
Alitoboa tu nyumbani.. vijijini hakuna masonara.
Asante sana babu
Nina bahati mbaya Mjukuu, wakati nalima lima bustani Juzi, Miwani yangu si ikavunjika tena🙆