donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Waswanu 





Kweli nzuriHakika utapata nzuri pale
Ona hii ni ya kubana nilichukua hapo View attachment 2180511
Aiseeh pole sanaKwa sasa yamepona yote ila la pili sijui kwa nini lilisumbua vile lilikua linakauka kwa nje ila ndani kidonda kibichi. Niliteseka ilibaki kidogo niliache tu lizibe lkn nilikomaa nalo likaja likapona kabisa.
Ooh kweli maana hujazoea kuzivaa .. unaweza kuanza kuzivaa kidogo kidogo utashangaa umezizoea tayari .Kweli nzuri
Ila sijui kama naweza kumbuka kuvaa
Hiki kijiwe ukitaka unakula bure.. na kuondoka siku ingine
Kuna ndugu yangu,alitoboa..akavimbaAiseeh pole sana
Ndo itakuwa wenye mikono mibaya hao
Urembo raha ila unahangaika .. ulikuwa unaweka vijiti ,wakati huo unauguza kidonda ?
Ahsante, niliweka vile vihereni vyao wanavyotumia kutobolea masikio hadi vikapata kutu nikatoa nikavaa vihereni vingineAiseeh pole sana
Ndo itakuwa wenye mikono mibaya hao
Urembo raha ila unahangaika .. ulikuwa unaweka vijiti ,wakati huo unauguza kidonda ?
Kuna ndugu yangu,alitoboa..akavimba
Kule nyuma ya sikio kunatengeneza dunguli kubwa linakua kadiri muda unavyoenda.
Baada ya muda anafanya oparesheni hayo madude yanakatwa...akikaa Kaa yanaota tena.
Hadi masikio yake yamechakaa maana zaidi ya miaka 15 sasa ni operation yanarudi Tena.
pole yake,hiv huwa yanasababishwa na nn yale madude?

Kuna ndugu yangu,alitoboa..akavimba
Kule nyuma ya sikio kunatengeneza dunguli kubwa linakua kadiri muda unavyoenda.
Baada ya muda anafanya oparesheni hayo madude yanakatwa...akikaa Kaa yanaota tena.
Hadi masikio yake yamechakaa maana zaidi ya miaka 15 sasa ni operation yanarudi Tena.
Ndo wanakuambia usitoe hereni kwa siku saba .Ahsante, niliweka vile vihereni vyao wanavyotumia kutobolea masikio hadi vikapata kutu nikatoa nikavaa vihereni vingine
dak kadhaa na mie ndani.. leo ijumaa pananoga sana![]()
Tupe hints kwenye nywele aisee maana dada una uhair hatari .Mi la kwanza kanitoboa mdogo angu na sindano tu nyumbani,ila la pili nilitobolewa na muuza urembo ndio!
Ni mkaka alikuwa anapita tu,wala sikupata shida!
acha uoga,nilijua tu we muoga
Beautiful Dodoma
Huku kama Barbara ya kutoka Udom
Dom kuzuri ila jua tu![]()
Lakini kama moyo wako unasita usitoboe vaa tu za kubana.Ndo wanakuambia usitoe hereni kwa siku saba .
Aisee ngoja nipause huu mpango wa kutoboa kwanza .
Oh kweli dearLakini kama moyo wako unasita usitoboe vaa tu za kubana.
Ujasiri wako tu kwa maana kuna watu wanatoboa ulimi ,kitomvu hadi papuchi (pirced pussy )Ndo wanakuambia usitoe hereni kwa siku saba .
Aisee ngoja nipause huu mpango wa kutoboa kwanza .
Unataka vya uswazi hivi vipo kibao.. ila nyie watu wa maana kabaneni hapo bambalaga, waswano au loyal.. alfajiri ndio viwanja vinabamba.. sasaWapi pananoga sana zaidi ya Bambalaga…natafuta sehemu ya kutoka baadae na friends alfajiri tuamshe
Ujasiri wako tu kwa maana kuna watu wanatoboa ulimi ,kitomvu hadi papuchi (pirced pussy )
Mfano kama
Makayla Cox , Jasmine jae, Devinn lane etc