Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Nishaweka mbonaNyoooooooooohhhh! weka nawewe

Nishaweka mbonaNyoooooooooohhhh! weka nawewe

nasubiri Raha ya kuwa na mwili mkubwa, kwenye moves hutumii nguvu na inabamba😅
Mkuu mbona umeikata?FraideiiiiView attachment 2180207
Nawatamani sema ndo siwezi kuvaaSkuna day ilishapitanasubiri
Accessories day. ...
Wale tunaopenda heleni,Cheni,bracelate nk
.Nimeipenda hii kaka, ngoja niitengeze ya style hii
Mashart ya selfikaMkuu mbona umeikata?

eeh vitambi vina umuhimu sana na minyama nyama kama pork 😬😬😬Raha ya kuwa na mwili mkubwa, kwenye moves hutumii nguvu na inabamba😅
Ndio maana ulisema amapiano zinawafaa wanaume wenye vitambi
Haya masharti wakati mwingine hata tusipoyazingatia,hayana madhara kabisa.Mashart ya selfika![]()
Serious?!Nawatamani sema ndo siwezi kuvaa.
Huwa navaa za kubana mara moja .Serious?!
Pia hereni ?
OohHuwa navaa za kubana mara moja .
Nzuri zipo kariakoo huku mitaani hamna .
Haya masharti wakati mwingine hata tusipoyazingatia,hayana madhara kabisa.


Kariakoo mtaa gani?Huwa navaa za kubana mara moja .
Nzuri zipo kariakoo huku mitaani hamna .
Duuh!