Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20220115-WA0009.jpg
 
Ndio nimepewa Authority n power,lkn si lzm niombe ?
Ile mamlaka niliyopewa ili ifanye kazi lzm niombe mkuu ile itumike kuondoa hizi mambo!
Ni aina gani ya maombi? Hayo maombi una ya direct wapi.. na for case kama hiyo sio issue ya maombi.. ni command.. ukishasema unaomba tayari mnaweza kuwa na mlolongo mrefu 😄😄😄.. maana harisi ya maombi au genesis ya maombi ( ni communion kati ya watu wawili ).. mnaaka mnaanza chapa story..
 
Ni aina gani ya maombi? Hayo maombi una ya direct wapi.. na for case kama hiyo sio issue ya maombi.. ni command.. ukishasema unaomba tayari mnaweza kuwa na mlolongo mrefu .. maana harisi ya maombi au genesis ya maombi ( ni communion kati ya watu wawili ).. mnaaka mnaanza chapa story..
Anyway I think tunatofautiana kwenye 'understanding' ya neno maombi.
Yamkini tunamaaisha kitu kimoja!
Maombi yanatofautiana, kuna ya vita,kuna ya shukrani, toba, nk(yote tunaita maombi) !

Hakuna mlolongo, mfano napokua kwenye maombi ya vita hapo hakuna mlolongo mbona!ndo unatumia hiyo nguvu na mamlaka vzr
(Mambo ya imani haya ni mapana)
 
Back
Top Bottom