Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujakosea sana
Ila yule kaka nilikuwa simuelewi kabisa
Hawa wauza urembo sio wote wanajua kutoboa
Nitaenda kwa sonara siku ikifika
Mi la kwanza kanitoboa mdogo angu na sindano tu nyumbani,ila la pili nilitobolewa na muuza urembo ndio!
Ni mkaka alikuwa anapita tu,wala sikupata shida!
acha uoga,nilijua tu we muoga
 
Oh sawa
Ngoja ntajaribu na Mimi kununua
Hakika utapata nzuri pale
Ona hii ni ya kubana nilichukua hapo
Screenshot_20220408-151514.jpg
 
Mi la kwanza kanitoboa mdogo angu na sindano tu nyumbani,ila la pili nilitobolewa na muuza urembo ndio!
Ni mkaka alikuwa anapita tu,wala sikupata shida!
acha uoga,nilijua tu we muoga

Eeh yani wewe unaweza aisee yani nitobolee na watu wawili tofauti .
Mimi muoga ndio hapo niliwaza what if akinitoboa nipate kidonda ... niliwasumbua weh hapo na ilikuwa barabani stand kabisa ya magari .
 
Sijatoboa last time ilikuwa nitoboe nikaghairi
Wengine wana mikono mibaya nasikia .
Hivi inawezekana hii kitu, nina matobo mawili la kwanza nilitoboa na sindano ya kawaida nyumbani nilipona mapema. Tobo la mara ya pili ilikua mtihan nilitoboa kwa sonara niliteseka zaidi ya mwezi haliponi ila badae likakaa sawa.
 
Hivi inawezekana hii kitu, nina matobo mawili la kwanza nilitoboa na sindano ya kawaida nyumbani nilipona mapema. Tobo la mara ya pili ilikua mtihan nilitoboa kwa sonara niliteseka zaidi ya mwezi haliponi ila badae likakaa sawa.

Aisee hapo nazidi kuogopa
Mwezi halikupona weh .. tundu la kwanza ulilotobolewa nyumbani lenyewe lipo sawa ?
 
Aisee hapo nazidi kuogopa
Mwezi halikupona weh .. tundu la kwanza ulilotobolewa nyumbani lenyewe lipo sawa ?
Kwa sasa yamepona yote ila la pili sijui kwa nini lilisumbua vile lilikua linakauka kwa nje ila ndani kidonda kibichi. Niliteseka ilibaki kidogo niliache tu lizibe lkn nilikomaa nalo likaja likapona kabisa.
 
Back
Top Bottom