Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,557
Mi la kwanza kanitoboa mdogo angu na sindano tu nyumbani,ila la pili nilitobolewa na muuza urembo ndio!Hujakosea sana
Ila yule kaka nilikuwa simuelewi kabisa
Hawa wauza urembo sio wote wanajua kutoboa
Nitaenda kwa sonara siku ikifika
Ni mkaka alikuwa anapita tu,wala sikupata shida!
acha uoga,nilijua tu we muoga


.
.
napenda urembo kushinda kula..
