Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nianze tena kustorika?

Hahaa

Briefly:
1st stop…. Pilato anamuhukumu Yesu ili hali hajui na haoni kosa, ila anafanya hivyo 7bu ya kumuogopa Kaisari na Wayahudi…
Leo hii hata sisi tunashindwa kufanya mema kwa sababu ya kuogopa macho ya wenzetu na maneno ya hapa na pale.
Mf: katika kuokoka, ukiokoka full maana yake na baadhi ya mitindo ya maisha inakupasa uiache like kuvaa kizumaridi. Ila sasa inaweza kukushinda kuenenda na mtindo wa kuvaa kiAbiud kwa kuhofia macho ya watu.

Pia suala la haki, inatupasa tuitende kwa namna inatakiwa iwe pasipo kuleta za Pilato kuigandamiza haki kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi na kubembelezea ushost wake kwa Kaysari.
Likely kibinadamu, unakuta mtu anashindwa kusimamia haki 7bu tu anataka kum favor rafiki / ndugu.



5th stop…. Tunaona namna Simon wa Kirene anamsaidia Yesu kubeba msalaba, hapa tunapata funzo la ukarimu mixer upendo.
Kituo kinatuonyesha ushujaa wa Simon kumsaidia Yesu nasi pia yatupasa kumsaidia Yesu kuuchukua msalaba, tunauchukuaje!!
Ni kwa kuzifata na kuziishi amri za Mungu na amri za Kanisa letu la kikatoliki.
Na misalaba yetu ya kibinadamu tuibebe mpaka Kalvario


Afu mie sikusoma Sunday school ujue inatosha
Wahoo, asante sana sana Depal kuna switch fulani hivi umenifungua kwenye fikra zangu, nashukuru kilichonileta selfika jioni ya leo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss maisha yetu ni msalaba,haijalishi ni familia,kazi, biashara,afya nk.
Nimeipenda sana nilipoona amekupa hivyo vituo,leo ukipata muda embu yatafakari maisha yako Kwa upana wake,naamini D anaweza kuwa malaika wako wa kukufungulia njia fulani.
Ni mtizamo tuu
Ndio nilikua natafakari hapa mkuu wangu, imenibidi nishukuri kilichonileta selfika siku ya leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom