Naomba ongeza kipimo Cha Ugali nije kula 😋😋😋
Amiyn kipenzi ,na dua zijibiwe za kwetu soteNakutakia mfungo mwema dear ..
Ikawe heri , dua zako zijibiwe na Mwenyezi Mungu .

Jamani hazijafika bado shabiby tuNi nzuri sana, mmeniambukiza kuzipenda, saivi hata nikiwa Ofisini utanikuta nazo kwenye meza yangu nakula![]()



?Dada una makusudiunataka tuvunje simu

Hapo nipo peke yangu nawe utakuwa wa piliNaomba ongeza kipimo Cha Ugali nije kula 😋😋😋
Karibu sana jiji jipya mzee baba,hizi zaliwa hata km nipo mwenyewe hazina madhara kwangu hiziUsijali, kesho kutwa nitakuja kutalii hapo Soko Kuu la Ndugai. Nitakuletea, ila usile ukiwa mwenyewe bila uwepo wa Mzee mwenzangu. Shughuli yake so haba![]()
Mwenzunu ugali na bamia kama dozii napendaa mno😀😀Dada una makusudiunataka tuvunje simu
tunataka za Vietnam![]()



hizi fujooo sasa za Vietnam ladha tofauti na za bongo?!!!Hujanipa maelekezo Mkuu, zisije kuishia kuliwa na Konda🤪
Bina nakuuliza ili unitumie futari tena Jumatatu nitakua Makao Makuu![]()


usijali binamu karibu mnoooAsante, utanipeleka na Kongwa. Nina research yangu naenda kukusanya Data kule 🤪🤪Karibu sana jiji jipya mzee baba,hizi zaliwa hata km nipo mwenyewe hazina madhara kwangu hizi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tutashiba kweli? Fanya mpango basi nije kula huo Mlenda 😋😋Hapo nipo peke yangu nawe utakuwa wa pili
Nusu wawili tutashiba mkuuKwahiyo tutashiba kweli? Fanya mpango basi nije kula huo Mlenda 😋😋
Mbinguni tutapewa miili mipyaNkamu mambo yenyewe ndiyo kama hayo acha tu tunenepe![]()
Nakuja faster ,😋😋😋Nusu wawili tutashiba mkuu
Wewe tu nifanye utalii wa ndani miye!ila uniendelesheAsante, utanipeleka na Kongwa. Nina research yangu naenda kukusanya Data kule![]()


navopenda safari kama kiwavi