Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Ngojea siku hii niiweke kwenye kumbukumbu zangu kupata bahati ya namna hii asante sana.Yeah!![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngojea siku hii niiweke kwenye kumbukumbu zangu kupata bahati ya namna hii asante sana.Yeah!![]()
Hakika, mshukuru Mungu daima maana amekujalia jaliwa njemaThank you
Nina innocent face somehow .
Ooh Amen
Nafidia kutokukutag!Ngojea siku hii niiweke kwenye kumbukumbu zangu kupata bahati ya namna hii asante sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo nipo sana. Sijui nianze kuomba poo maana zinanizidi uwezoBado Upo!!!??? View attachment 2172185


UnakoshaBado Upo!!!??? View attachment 2172185
Ubarikiwe na kituo cha kwanza na cha tano..
😜😜🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Asante mno mno ila ningependa kweli kujua kwanini umenibariki kwa hivyo 1Yesu anapokea msalaba 5 Simoni anamsaidia Bwana yesu misalabaUbarikiwe na kituo cha kwanza na cha tano..
Mi ndio nadataNimemmisi sana Valentina jamani
Boss maisha yetu ni msalaba,haijalishi ni familia,kazi, biashara,afya nk.Asante mno mno ila ningependa kweli kujua kwanini umenibariki kwa hivyo 1Yesu anapokea msalaba 5 Simoni anamsaidia Bwana yesu misalaba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nipo ila picha zinanipita hivi hivi laivu. Sijui leo nina mkosi gani wakati ni Furahi day. Sijapenda kwa kweli!
Unapotelea wapi msukuma... Hii yamwisho kwa leo...stay thereMimi nipo ila picha zinanipita hivi hivi laivu. Sijui leo nina mkosi gani wakati ni Furahi day. Sijapenda kwa kweli!
OK...Boss Lady....Unapotelea wapi msukuma... Hii yamwisho kwa leo...stay there



Chuchu konzi utafikiri ncha ya mkuki wa morani. Eti mama wa watoto wawili mweh!Niliweka hii hapa msukuma!!View attachment 2172223





Mtaa gani huo bageshi?