Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😬😬😬😬😬😬Mkuu sisi tunajiheshimu, tulianza kufundishwa uadilifu tangu enzi za TANU 🤪🤪🏃🏃🏃
😬😬😬😬😬😬Mkuu sisi tunajiheshimu, tulianza kufundishwa uadilifu tangu enzi za TANU 🤪🤪🏃🏃🏃
I couldn't agree with you more.The moment you bring the little lamp into it, the brightest pictures shine on your white wall!
Acha ukorofi nkamu!tunataka za Vietnam![]()
Salama kabisa. Vp wewe rafiki?I couldn't agree with you more.
Habari ya weekend rafiki ?
Jamani 🙆Mzee wa mchongo😬
So far ,so good .Salama kabisa. Vp wewe rafiki?
Hata ukinikurupusha kutoka usingizini usiku wa manane nakutajia ya kwanza mpaka ya 10 bila kubabaika wala kukosea. Nyerere alipambana sana kupandikiza falsafa ya uzalendo, utu na uadilifu. Good ole days...Mkuu sisi tunajiheshimu, tulianza kufundishwa uadilifu tangu enzi za TANU![]()
Lile zoezi la swimming tunafanya lini?So far ,so good .

Siamini kama hata miaka 25 umefikisha😬Jamani 🙆
Ooh nilisahauLile zoezi la swimming tunafanya lini?![]()
..Labda ni mmoja wa wanaolamba asali kila kona kama ukoo wa MakambaGrahams Anatumia Passport ya ubabuuu.. kufanye yake.. wazee wa siku kaa nao mbali sio umeona alivyo king'ang'anizi kuja home![]()








Sawa jipange rafiki. Uwe na w.end njema!Ooh nilisahau..
Ngoja nijipange kwanza .
nyie wazeee mnajuana.. sie vijana hatuna meno
AsanteSawa jipange rafiki. Uwe na w.end njema!
Hivi vitu Kuna haja tuendelee kuwafundisha Vijana wetu. Ni muhimu sanaHata ukinikurupusha kutoka usingizini usiku wa manane nakutajia ya kwanza mpaka ya 10 bila kubabaika wala kukosea. Nyerere alipambana sana kupandikiza falsafa ya uzalendo, utu na uadilifu. Good ole days...
View attachment 2172065
Umeonekana 😍😍Jina langu Ramadhani❤️
Jina la nyingi Neema❤️
Waislam fungeni mpate afya njema❤️