Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Kwa uzee gani labda
??? kijana fureeesssshhh kabisa šš¤£
??? kijana fureeesssshhh kabisa šš¤£
Hapana , I'm doing fine .Waumwa?
Hallelujah binti AbiudNianze tena kustorika?
Hahaa
Briefly:
1st stopā¦. Pilato anamuhukumu Yesu ili hali hajui na haoni kosa, ila anafanya hivyo 7bu ya kumuogopa Kaisari na Wayahudiā¦
Leo hii hata sisi tunashindwa kufanya mema kwa sababu ya kuogopa macho ya wenzetu na maneno ya hapa na pale.
Mf: katika kuokoka, ukiokoka full maana yake na baadhi ya mitindo ya maisha inakupasa uiache like kuvaa kizumaridi. Ila sasa inaweza kukushinda kuenenda na mtindo wa kuvaa kiAbiud kwa kuhofia macho ya watu.
Pia suala la haki, inatupasa tuitende kwa namna inatakiwa iwe pasipo kuleta za Pilato kuigandamiza haki kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi na kubembelezea ushost wake kwa Kaysari.
Likely kibinadamu, unakuta mtu anashindwa kusimamia haki 7bu tu anataka kum favor rafiki / ndugu.
5th stopā¦. Tunaona namna Simon wa Kirene anamsaidia Yesu kubeba msalaba, hapa tunapata funzo la ukarimu mixer upendo.
Kituo kinatuonyesha ushujaa wa Simon kumsaidia Yesu nasi pia yatupasa kumsaidia Yesu kuuchukua msalaba, tunauchukuaje!!
Ni kwa kuzifata na kuziishi amri za Mungu na amri za Kanisa letu la kikatoliki.
Na misalaba yetu ya kibinadamu tuibebe mpaka Kalvario
Afu mie sikusoma Sunday school ujueinatosha
Nilikaza mkono balaa kusema kweli ššHukuogopa kudumbukizia huko simu š¤£
Kuna ka clip nakaona ona, jamaa anaselfika na samaki alipomaliza lengo ni amrushe samaki majini ila akajikuta amerusha simuš
Dongo Tu Hilo gumu kuzeeka....nimekula chumvi balaa šKwa uzee gani labda
??? kijana fureeesssshhh kabisa šš¤£
Usijali rafiki....Siku nyingine rafiki
Nilikumisije mzungumze uwiii.... much welcome dear!

...Na M1 yetu pembeni unagusa tu-mouse na vinyimbo kucheki sound ina stereo š
Well huwezi potea kabisa .No ma'am
ThanksThought unaumwa baada ya sermon nije see ya
Lips ā¤Nimewiwa kutuma hii View attachment 2172272

Nina upakoo dadeki....š Thats nice lookingNimewiwa kutuma hii View attachment 2172272
Hqdi mimi sijapitwa leoNimewiwa kutuma hii View attachment 2172272
Ooh thank youNina upakoo dadeki....Thats nice looking
HahahhaHqdi mimi sijapitwa leo