Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 2169543
Kama Serikali inatunza akiba, kwanini na wewe usichonge kibubu kutunza🤪🤪🤪.

Nyumba ikiungua tu, unaanza upya kukusanya 🤪🤪
Naomba chenji 😜
Lakini usinipe 5 5 zilizochakaaa

D63BE6DD-F507-49AF-98BB-FF3BED5D1FE0.jpeg
 
Kuna vitu vina fun sana.. watu hawajui kama kuwinda.. wengi hawajui tu na sijui kwanini.. na road trip
Road trip yees hili halina ubishi
Mnatoka zenu mfano Dar to Bagamoyo jion mnarudi.
Au Dar to Moro then kesho yake mnageuza

Kuwinda nadhani wengi hawana hiyo exposure ndio maana hawajui raha yake, kama mimi i had no idea kama unaweza kuwinda for fun, now nimetamani kuexperience
 
Road trip yees hili halina ubishi
Mnatoka zenu mfano Dar to Bagamoyo jion mnarudi.
Au Dar to Moro then kesho yake mnageuza

Kuwinda nadhani wengi hawana hiyo exposure ndio maana hawajui raha yake, kama mimi i had no idea kama unaweza kuwinda for fun, now nimetamani kuexperience
Road trip huku mnakuala country mdogo mdogo.. ma story mnajitahidi mnakuwa na vitu vinavyo wapa vibe.. mnatafuta resort ambazo zipo porini kabisa ikiwezekana milimani.. kuna moja nilienda hivi majuzi kati ipo ulanga.. nili enjoy sanaa..

Uwindaji ni kweli wengi hawana idea nayo kutokana na nature yake
 
😁😁😁 kuna mmoja hadi leo nipo responsible kwenye kuanzia mafuta ya gari , services na bora ingekuwa IST.. gari ina 3.0L na huwa najishika moyo tu.. huwa napenda peace si unajua hawa mama zetu wana laana kali mno.. unaweza shangaa mambo haya endi 😂😂😂😂 huwa najitahidi ku maintain peace
Kma nafasi na uwezo wa kutoa huduma upo endelea, unaweza kuta huyo Mchepuko tayari umeshazaa nao wewe 😂
 
Back
Top Bottom