Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Bageshi ......





Bageshi ......





msije mkawa kula hadi muweke apron kwanza 😀😀😀ha ha ha hatuwezi kukipaka mate kwanza tunakula kistaarabuu
Wabeja sana bageshi...
😀😀😀 sema tupia ka mwisho ka muagano kabla Boss ajaja kunifurusha hapa niende getiniEeh acha tu usiseme mengi, naelewa unayopitia kama kijana tuna changamoto nyingi.
Me naomba nikutie tu moyo, tutayavuka haya ni swala tu la muda.

Dah! nyama na majani hayo.. yameamsha miguu ikasake mlo
Mimi sijambo nkoyi. Natumaini hata huko kwako ni kwema pia. Msalimie sana dada yangu na shemeji; na wapendwa woteWabeja sana bageshi...
Uhali gani bageshi

Unakwenda kwa miguu au unaiamsha RR?Dah! nyama na majani hayo.. yameamsha miguu ikasake mlo





Me nyama tu hapo
Huku Mungu ni mwema.Mimi sijambo nkoyi. Natumaini hata huko kwako ni kwema pia. Msalimie sana dada yangu na shemeji; na wapendwa wote![]()
hapa ni mwendo wa ngoko tu.. nakuwa nakutana na watu wazuri wazuri wanafanya zoezi ndio raha yake.. mie bado nipo na ka jaguar kangu.. ingawa soon nina upgrade kabla ya mwezi wa sita.. maana naona mashamba yangu yameiva safi sanaUnakwenda kwa miguu au unaiamsha RR?![]()
Njoo basi tukale mahala pale Uzunguni ila usimshutue Depal maana anakula kama ana matumbo manneMe nyama tu hapo
Ewaaaaa... 😇😇😇😇.. perfectSasa na wewe inabidi utupie hata bible verse, nipate upako wa jion kabla giza halijatanda kwenye uso wa nchi
View attachment 2169551
Waambie wanakaribishwa sana Misungwi anytimeHuku Mungu ni mwema.
Zimefika sema wanakumiss sana, wanaulizia utakuja lini



😀😀😀 kula vizuri plate tatuuu 🤣🤣🤣😂😂😂 mbona anakulaga vzuri, unamuonea.
Twende lini sasa niandae njaa 😋
Asantee sana bageshi, tutakaribia soonWaambie wanakaribishwa sana Misungwi anytime![]()