Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
😂😂😂Wala hata 🤣
Ila watashangaaaa
Dada kawaje…
Kabla sijasahau
Jamani Mo Salah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanakuta nimekuwa waitiii..
Salah shauri yake..Mimi nilikuwa na Mane wetu Senegal😂
😂😂😂Wala hata 🤣
Ila watashangaaaa
Dada kawaje…
Kabla sijasahau
Jamani Mo Salah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 namwambiaa😀😀😀 kula vizuri plate tatuuu 🤣🤣🤣
hapa inanoga j. mosi kesho na kesho kutwa wacha tushughulikie ya kaisar
😍Nimefika kipenzi
🤭🤭🤭🤭Kuaibishana kupo? 🤣🤣
miss you sana my inspiration my dunia, my breath.. my love my kila kitu uhai wangu 😍😍😍💕😍Nimefika kipenzi
Yani weekend kuna kuwa na opt kibao.. ikiwa mapema twende kabisa tukawinde.. tuchomee porini wenyewe 😀😀😀.. hakuna raha kama kuwinda😂😂😂 namwambiaa
Sawa weekend ndio mpango mzima, no stress za kaisar. Naisubiri kwa hamu
BabuFanya utaratibu unitumie Miwani mjukuu, napata shida sana kusoma magazeti tangu Ile ya awali ivunjike 🤪🤪🙈
Mimi zaidi u hali gani kipenzi wa mimimiss you sana my inspiration my dunia, my breath.. my love my kila kitu uhai wangu 😍😍😍💕
Mimi zaidi u hali gani kipenzi wa mimi
akiba muhimu sanaaView attachment 2169543
Kama Serikali inatunza akiba, kwanini na wewe usichonge kibubu kutunza🤪🤪🤪.
Nyumba ikiungua tu, unaanza upya kukusanya 🤪🤪
Hiyo nimeipenda, nitaandaa mavaz ya kaz kabisa👟Yani weekend kuna kuwa na opt kibao.. ikiwa mapema twende kabisa tukawinde.. tuchomee porini wenyewe 😀😀😀.. hakuna raha kama kuwinda
Kabisa, Kuna wakati unapata tatizo Kila unayempigia kumwomba akuazime fedha anakwambia hana.akiba muhimu sanaa
Usijali... usalama upo wa kutosha.. hakuna kitu kizuri na una enjoy kama kuweinda watu hawajui tu.. but ni bonge ya fun.. una enjoy hasaa.. nilianza kupenda kuwinda enzi za babu yangu alikuwa akinichukua tunaenda nyikani kuwindaHiyo nimeipenda, nitaandaa mavaz ya kaz kabisa👟
Japo hua naogopa maporini, lakini nitajikaza ndio nisispoil the fun😅
Usichelewe kurejea nyumbani kipenzi nimekuandalia chakula cha jioniNipo napata kahawa mama yangu.. japo leo wametoa boko sio nzuri dah🙂View attachment 2169574
Asante Mjukuu wangu kunijali Babu yako, ukija Likizo nitakupa zawadi ya mashamba uanze kulima 🤪🤪Babu
Ur wish is my command
Hela ikiwa kwa mtu sio ya kutegemea kabisa.. labda uwe na strong circle bilan hivyo unadhalilika.. kuna nyakati nilikuwa nashida na 4 million tu.. mbona nilikosa.. ikabidi niuze gari kwa hasara kubwa ushauza gari kwa miliona saba 🤣🤣🤣🤣🤣 utatua kitu.. dah.. baada ya hapo nikajifunza jambo.. adui yangu wa kwanza mikopoKabisa, Kuna wakati unapata tatizo Kila unayempigia kumwomba akuazime fedha anakwambia hana.
Naomba niwe nakutunzia hizo pesa tafadhaliView attachment 2169543
Kama Serikali inatunza akiba, kwanini na wewe usichonge kibubu kutunza🤪🤪🤪.
Nyumba ikiungua tu, unaanza upya kukusanya 🤪🤪