Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vibali vyake vipi ni swala la uelewa na ufatiliaji tu.. mkisha kuwa na road trip automatic huwa chemistry huja tu.. kuna siku sikuwa na hela ya kutosha natoka dsm naenda singida.. nikasema acha leo nile vichwa.. nimefika mbezi mwisho pale.. nikapaki gari yangu.. chap nikapata abiria wanne nikasema hawa wanatosha tukaanza safari mbona nilijikuta nimepeleka watu mwanza 😁😁😁😁 kwa namna ambavyo ilikuwa safari yenye furaha na ucheshi
😂😂😂😂 ukajikuta umefika kwa wasukuma.

Kuna watu yaan hamjuani mmekutana tu ila mnavibe had mnajishangaa as if mlijuana kitambo huko.
Napenda sana watu wa aina hyo, stress free.

Hapo safari hata ya Bukoba hauchoki unaenjoooy tu (In Aristotee's voice😂)
 
😂😂😂😂 ukajikuta umefika kwa wasukuma.

Kuna watu yaan hamjuani mmekutana tu ila mnavibe had mnajishangaa as if mlijuana kitambo huko.
Napenda sana watu wa aina hyo, stress free.

Hapo safari hata ya Bukoba hauchoki unaenjoooy tu (In Aristotee's voice😂)
Ukarimu muhimu sana kwenye maisha, huwezi jua utae mkrimu leo kesho kwako anaweza kuwa na nani.. sijawai kula kichwa kikawa pia bored kwenye safari.. kuna wengine huwa sichukui hata nauli zao.. kuna mmoja nilimchukua stand alikuwa na shida ya afya.. na hakuwa na hela.. sikuchukua nauli yake nikamuhudumia mwanzo hadi mwisho hakuamini yule mtu.. na alie akawa ka mzima.. maana nilivyomtazama pia niliona ni mtu mwenye msongo wa mawazo.. But leo ni msaada.. ndio maana mie kwenye maisha yangu cha kwanza ukarimu, amani.. siwezi chukiana na mtu au kuruhusu amani apotee.. leo waweza kuwa kitu kesho usiwe hivyo ila kama ulikuwa mkarimu utaishi na ndio maana road trip zangu huwa na enjoy hasa ninapo amua beba abiria
 
Ukarimu muhimu sana kwenye maisha, huwezi jua utae mkrimu leo kesho kwako anaweza kuwa na nani.. sijawai kula kichwa kikawa pia bored kwenye safari.. kuna wengine huwa sichukui hata nauli zao.. kuna mmoja nilimchukua stand alikuwa na shida ya afya.. na hakuwa na hela.. sikuchukua nauli yake nikamuhudumia mwanzo hadi mwisho hakuamini yule mtu.. na alie akawa ka mzima.. maana nilivyomtazama pia niliona ni mtu mwenye msongo wa mawazo.. But leo ni msaada.. ndio maana mie kwenye maisha yangu cha kwanza ukarimu, amani.. siwezi chukiana na mtu au kuruhusu amani apotee.. leo waweza kuwa kitu kesho usiwe hivyo ila kama ulikuwa mkarimu utaishi na ndio maana road trip zangu huwa na enjoy hasa ninapo amua beba abiria
Kweli umeongea kitu kikubwa na cha msingi sana, wema hua siku zote hauozi ukigundua hilo basi utaishi vizuri na watu.
Dharau, majivuno sio kabisa kwenye haya maisha ambayo hatujui kesho yetu itakuaje.

Wewe utakua uko charming ndio maana umeweza kufanya yote hayo, na ukimtendea mtu mema lazima tu utabarikiwa na namna yako.
 
Back
Top Bottom