Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😀😀 mie namtazama tu..Kama 9.8ms squared ataridhia haina shida😀
😀😀 mie namtazama tu..Kama 9.8ms squared ataridhia haina shida😀
Mie huyu huyu 🙄🙄Ameridhia 😬
Ilibidi nikagugo kwanza hilo neno.Safi sanaa.. nitakufundisha na kutumia rifle 😊😊
😁😁😁😁 nitakufundisha utakuwa mkali vibaya yaniIlibidi nikagugo kwanza hilo neno.
Hee sijawah kushika hiyo kitu😂 naiogopa balaa ila nikipata mafunzo natumai nitaiwezea
Yaa sana nimegundua ukiwa na roho ya kikatili yaani hata mtu akwambie vipi shida unakaza unaweza kutoboa kwenye maisha na pia kutokuwa na moyo wa kuamini hasa upande wa pesa nimejifunza.Pesa ina changamoto my love 😍
Inahitaji nidhamu sana pesa..
ukifanikiwa nidhamu kwenye pesa utafanikiwa kwenye mengi..
mie nime struggle sana kwenye finance management.. ni changamoto sio jambo rahisi.. uwe unamtumia ka message ka Hi sister 😊😊
Hahahaha.......muhimu ukifunga kurasa hutakiwi kurudiMie ndio nimefail ma ex wana nikamua kuliko present tense.. au nimelogwaaa 🤣🤣🤣🤣
na mchezo wa kuuza vitu sio mzuri.. mie nimeuza sana magari kwa ujinga ujinga wa kutokua na strong akiba.. but nao nimepata suluhu yake.. ila inatesa sana.. usipokuwa na akiba tayari ujijue ni maskini
😂😂😂😀😀 mie namtazama tu..
😁😁 Pesa ina lugha yake na ina tabia zakeYaa sana nimegundua ukiwa na roho ya kikatili yaani hata mtu akwambie vipi shida unakaza unaweza kutoboa kwenye maisha na pia kutokuwa na moyo wa kuamini hasa upande wa pesa nimejifunza.
😊😊😊 majaribu hayo my inspiration
Hilo swala zito kutekelezeka 😀😀😀
Nitashukuru sana mkuu wangu, niwe mkali wao na mie😅😁😁😁😁 nitakufundisha utakuwa mkali vibaya yani
Nitajuaje kipenzi weakness zangu😁😁 Pesa ina lugha yake na ina tabia zake
. na lazima ujifunze ujue weakness yako kwenye pesa na strength yako kwenye pesa
😁😁😁 kuna mmoja hadi leo nipo responsible kwenye kuanzia mafuta ya gari , services na bora ingekuwa IST.. gari ina 3.0L na huwa najishika moyo tu.. huwa napenda peace si unajua hawa mama zetu wana laana kali mno.. unaweza shangaa mambo haya endi 😂😂😂😂 huwa najitahidi ku maintain peaceHahahaha.......muhimu ukifunga kurasa hutakiwi kurudi
Ila muhimu wasiwe wengi, labda mmoja au wawili. Ukiwa nao wengi hapo lazima uingilike, huyu anataka umjazie Kodi, yule mwingine anataka hela ya mafuta ya mwezi Mzima kwaajili ya gari lake n.k😂😂
angalia kwa sehemu kubwa wapi hela inatokea iingiapo 😎Nitajuaje kipenzi weakness zangu
Ohoooo.. hilo gumu.. jitunzie tuMjukuu yule kazi yake ni kwenda Mafao house kunichukulia tu Pension yangu, suala la Kutunza nadhani aendelee kulifanya Nuzulati 😂😂😂