Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Love you my inspiration roho yangu 😍😍Nakazia hapo kwa mjukuu ngoja nini nimuachie hili 😃
Love you my inspiration roho yangu 😍😍Nakazia hapo kwa mjukuu ngoja nini nimuachie hili 😃
😁😁😁 napenda amani sana, nashangaa watu ambao hawapatina na ma ex. wao.. mtu ambae mmelea uchi pamoja anakujua in and out.. unakuja kuwa adui yake.. mie kwangu hiyo nimeshindwaa.. ex wangu wote ni kama ndugu zangu ingawa niliona kwa mfano huyu wa mwisho alikuwa hata kabisa ukaribu ila nili mset sana... hadi akakaa kwenye kanuni zanguu.. mtu anaviona vitako asubuhi na jioni alafu leo. mnakuwa maaadui hapana asee 😂😂😂Kma nafasi na uwezo wa kutoa huduma upo endelea, unaweza kuta huyo Mchepuko tayari umeshazaa nao wewe 😂
Ndio ndio 😂Deal agreed 💯
Mwenyewe nimezipenda hizo zako Mpya, najua hata nikizitunza kwneye kibubu Mwaka Mzima bado zitakuwa Mpya Mpya 😂😂
Mkiwa watu mnaoelewana wote mna vibe basi mnaenjoy sana.Road trip huku mnakuala country mdogo mdogo.. ma story mnajitahidi mnakuwa na vitu vinavyo wapa vibe.. mnatafuta resort ambazo zipo porini kabisa ikiwezekana milimani.. kuna moja nilienda hivi majuzi kati ipo ulanga.. nili enjoy sanaa..
Uwindaji ni kweli wengi hawana idea nayo kutokana na nature yake
😂😂😂😂cc@GrahamsOmba kwa babu atoe ruhusa
😂😂kwangu mimi akuna tukiachana vita ni vita Mula😬😁😁😁 napenda amani sana, nashangaa watu ambao hawapatina na ma ex. wao.. mtu ambae mmelea uchi pamoja anakujua in and out.. unakuja kuwa adui yake.. mie kwangu hiyo nimeshindwaa.. ex wangu wote ni kama ndugu zangu ingawa niliona kwa mfano huyu wa mwisho alikuwa hata kabisa ukaribu ila nili mset sana... hadi akakaa kwenye kanuni zanguu.. mtu anaviona vitako asubuhi na jioni alafu leo. mnakuwa maaadui hapana asee 😂😂😂
Vibali vyake vipi ni swala la uelewa na ufatiliaji tu.. mkisha kuwa na road trip automatic huwa chemistry huja tu.. kuna siku sikuwa na hela ya kutosha natoka dsm naenda singida.. nikasema acha leo nile vichwa.. nimefika mbezi mwisho pale.. nikapaki gari yangu.. chap nikapata abiria wanne nikasema hawa wanatosha tukaanza safari mbona nilijikuta nimepeleka watu mwanza 😁😁😁😁 kwa namna ambavyo ilikuwa safari yenye furaha na ucheshiMkiwa watu mnaoelewana wote mna vibe basi mnaenjoy sana.
Na mazingira ya nje ya mji mazuri refreshment ya kutosha.
Ila kuwinda haihitaji kibali? Isije kua hiyo nayo inakwamisha
Heri hata tag yako imekataa 🤣😂😂😂😂cc@Grahams
haitakaa tuachane mbona.. maana hapa ndio mwendo wangu umeisha.. na ikitokea ujue mwisho wa dunia.. 😂😂😂😂😂kwangu mimi akuna tukiachana vita ni vita Mula😬
😬😂😂😂Akipita ata like najua😃Heri hata tag yako imekataa 🤣
😂😂Ongea kwa nguvu kila mtu asikie
Hiyo kitu haijawah toa boko hata siku moja
WeeeHiyo kitu haijawah toa boko hata siku moja
Nakujaaaaa chap😋🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Babuu😬😂😂😂Akipita ata like najua😃