Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
Ewaaa.. my dunia najuanu umeniandalia chakula nikipendacho kabisaa 😋😋😋..Usichelewe kurejea nyumbani kipenzi nimekuandalia chakula cha jioni
Ewaaa.. my dunia najuanu umeniandalia chakula nikipendacho kabisaa 😋😋😋..Usichelewe kurejea nyumbani kipenzi nimekuandalia chakula cha jioni
Usalama ndio la msingi kama umenihakikishia hilo basi tutaenda.Usijali... usalama upo wa kutosha.. hakuna kitu kizuri na una enjoy kama kuweinda watu hawajui tu.. but ni bonge ya fun.. una enjoy hasaa.. nilianza kupenda kuwinda enzi za babu yangu alikuwa akinichukua tunaenda nyikani kuwinda
Bonge la experience unaweza tamani kila wiki uende.. kuna raha yake.. usalama upo wa kutosha.. tena sanaaa.. nafikiri baada ya hapo na wewe waweza anza kujifunzaa..Usalama ndio la msingi kama umenihakikishia hilo basi tutaenda.
Sijawah kuwinda japo nyama pori hua nakula na nazipenda sana.
Itakua experience nzuri sana hiyo, am sure nitaenjoy
Tatizo Dunia ya sasa ukimkopesha mtu tayari ushatengeneza uadui mkubwa😀Hela ikiwa kwa mtu sio ya kutegemea kabisa.. labda uwe na strong circle bilan hivyo unadhalilika.. kuna nyakati nilikuwa nashida na 4 million tu.. mbona nilikosa.. ikabidi niuze gari kwa hasara kubwa ushauza gari kwa miliona saba 🤣🤣🤣🤣🤣 utatua kitu.. dah.. baada ya hapo nikajifunza jambo.. adui yangu wa kwanza mikopo
Maeneo ya kuwinda kwa huku yapo?Bonge la experience unaweza tamani kila wiki uende.. kuna raha yake.. usalama upo wa kutosha.. tena sanaaa.. nafikiri baada ya hapo na wewe waweza anza kujifunzaa..
Ewaaa kipenzi 😍Ewaaa.. my dunia najuanu umeniandalia chakula nikipendacho kabisaa 😋😋😋..
Ni kweli.. na ndio maana unaweza jenga circle au mkaunda circle yenu watu wachache ambao mnajielewa.. hii inasaidia sana.. pia huwezi mkopa kila mtu..Tatizo Dunia ya sasa ukimkopesha mtu tayari ushatengeneza uadui mkubwa😀
Pole sana Mkuu,Hela ikiwa kwa mtu sio ya kutegemea kabisa.. labda uwe na strong circle bilan hivyo unadhalilika.. kuna nyakati nilikuwa nashida na 4 million tu.. mbona nilikosa.. ikabidi niuze gari kwa hasara kubwa ushauza gari kwa miliona saba 🤣🤣🤣🤣🤣 utatua kitu.. dah.. baada ya hapo nikajifunza jambo.. adui yangu wa kwanza mikopo
Maeneo yapo mengi sana inategemea uanata kwenda wapiMaeneo ya kuwinda kwa huku yapo?
Pesa ina kikundi kipenzi ikiwa tu ndugu tunagombana nao kisa pesa mtakubaliana vizuri kwenye utekelezaji sasa😬Ni kweli.. na ndio maana unaweza jenga circle au mkaunda circle yenu watu wachache ambao mnajielewa.. hii inasaidia sana.. pia huwezi mkopa kila mtu..
Mie ndio nimefail ma ex wana nikamua kuliko present tense.. au nimelogwaaa 🤣🤣🤣🤣Pole sana Mkuu,
Nakumbuka X wangu mmoja alipatwa na Msiba wa Mzee wake, alafu hana hata 10,000 mbovu ndani. Hapo tulishamwagana zaidi ya miezi 17, nikakuta namba ngeni inanicheki....... anyways Kwa kuwa ni Msiba nilimsaidia.
Ila akiba ni muhimu sana, ukishindwa kutunza fedha basi walau uwe na assets ambazo unaweza kuzisukuma ukasolve tatizo lako
Kuna watu ambao wapo serious mie kuna watu hata sasa hivi najua nikiwa na shida na kiasi gani niki wacheki wananipa kwasababu wananielewa a man of vision siwezi fupisha maono yangu kwa kukosa uaminifu.. the same na wao. na circle isizidi watu watano.. mkiwa wengi tatizo tayariPesa ina kikundi kipenzi ikiwa tu ndugu tunagombana nao kisa pesa mtakubaliana vizuri kwenye utekelezaji sasa😬
😍😍😍😘😘😘 una maisha yangu my inspiration..Ewaaa kipenzi 😍
Kama siku hiyo hamna ishu ya muhimu ya hela, popote tu fresh mradi kuenjoyMaeneo yapo mengi sana inategemea uanata kwenda wapi
Safi sanaa.. nitakufundisha na kutumia rifle 😊😊Kama siku hiyo hamna ishu ya muhimu ya hela, popote tu fresh mradi kuenjoy
Una bahati mpendwa mimi nilimkopesha dada huu mwaka wa 2 yaani hata nikipigia simu ya salam hataki kupokea anajua nitakumbushia deni,Nilikuwa na best yangu tulipanga tuweke pesa ikifika kiasi kama sh million 20 tufungue biashara mpaka leo ni ugomvi kuhusu ile pesa japo kiasi kile hatukufikisha tuliishia njiani😬Kuna watu ambao wapo serious mie kuna watu hata sasa hivi najua nikiwa na shida na kiasi gani niki wacheki wananipa kwasababu wananielewa a man of vision siwezi fupisha maono yangu kwa kukosa uaminifu.. the same na wao. na circle isizidi watu watano.. mkiwa wengi tatizo tayari
Thank you kipenzi ❤️😍😍😍😘😘😘 una maisha yangu my inspiration..
Kama 9.8ms squared ataridhia haina shida😀Naomba niwe nakutunzia hizo pesa tafadhali
Pesa ina changamoto my love 😍Una bahati mpendwa mimi nilimkopesha dada huu mwaka wa 2 yaani hata nikipigia simu ya salam hataki kupokea anajua nitakumbushia deni,Nilikuwa na best yangu tulipanga tuweke pesa ikifika kiasi kama sh million 20 tufungue biashara mpaka leo ni ugomvi kuhusu ile pesa japo kiasi kile hatukufikisha tuliishia njiani😬
Ameridhia 😬Kama 9.8ms squared ataridhia haina shida😀