Tumechatika sana bila picha hebu tupate Tangazo kutoka kwa wadhamini wetu tafadhaliView attachment 2166033




naacha mochwari.Unanione wivu tu 😊😊😊Mahaba ya kihindi hayo
Namaste
Hivi kuna nini humu uwiiiii! Mie sielewi vizuri mjue!! Naomba samari pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!?







Nkamu nilikuwa busy kwa kweli. Lakini nashukuru nimeiwahi picha yetu ya kitchen party. Gorgeous as alwaysNkamu nimekumiss![]()
Binti Abiud. Mikono + hiyo rangiTunaendelea.... Za jpil jmn watt wa Abiudi mpoo?View attachment 2166296
cocastic Depal Heaven Sent Saint Annie
Eeh nimewasahau Wigelekelo Gallius![]()






Nikikuwa namiUnanione wivu tu![]()

Hehe kabla hamjaanza mtanange msisahau tu kunipa nguo zenu niwashikie msije mkachaniana bure! Mkimaliza kupigana ndiyo nawarudishia!







Binti kwenu kuna wakubwa lakini au umeshindikana kama Anne?Vya kizumaridi Saint Anne View attachment 2166309






Ndiyo mshangaane ninyi wanaume mnaosema zinatanuka wakati siku zote ziko elastic! Nimekazia hapo sababu huwa nachukia nikikuta wanawake tunasemwa na the so called wanaume hasa kwenye suala la maumbile na ngono ambayo mnafanya wote!Mbona umeng'ang'ania sana hapo
Makao makuu
Jana ulisema mileage kusoma sana
Leo tena lango kutanuka
Ipo hivi maumbile ke yapo hivyo kama yalivyo
Hakuna cha goli kuwa wazi ama beki hazikabi
Yote kwa yote naendelea kuwa msomaji
Najifunza![]()
Exactly na ndicho ninachowashangaa hawa wanaume wa kiafrika! Huwa wanaassume kwamba mwanamke ukifika umri fulani hujaolewa basi utakuwa na mkosi na utakuwa malaya tu hivyo hata pale makao makuu mlango utakuwa umeongezeka ukubwa!







khaaah wee.BeautifulNimepata ka picha ka zamani
Kucha zilikubali kufugika, now days zimekataa. Saint Anne View attachment 2166312
Nimeona hiyo rangi nimekuwazaUmependeza wii
Ulivyo na damu nzuri yaani kila rangi inakukubali.
Aaah nakuona ndugu yake ommy dimpozNimepata ka picha ka zamani
Kucha zilikubali kufugika, now days zimekataa. Saint Anne View attachment 2166312
RelaxNdiyo mshangaane ninyi wanaume mnaosema zinatanuka wakati siku zote ziko elastic! Nimekazia hapo sababu huwa nachukia nikikuta wanawake tunasemwa na the so called wanaume hasa kwenye suala la maumbile!

Wacha weeNimepata ka picha ka zamani
Kucha zilikubali kufugika, now days zimekataa. Saint Anne View attachment 2166312

Na mimi nimejiwaza kwenye hiyo orangeNimeona hiyo rangi nimekuwaza