Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Sitaki tufe mafukarandio maana nakupenda, una ma akili mingi
Sitaki tufe mafukarandio maana nakupenda, una ma akili mingi
Najua huwezi niliza.. account number basi nihamishe muamalaTuma nauli ya kujia na kurejeaa 😬(Analinzwa mtu)😂😂
Ni ile ile ya zamani😍Najua huwezi niliza.. account number basi nihamishe muamala
😀😀😀 ipi hiyoNi ile ile ya zamani😍
Good girl.. kidole moja haivunji chawaaa.. ukuje tuunganisje maguvuSitaki tufe mafukara
Aisee itakuwa umefuta namba 😬😬😀😀😀 ipi hiyo
Nifanyie wepesi wa picha basi mkuu yaani mda wote nachatika bila picha 😬😬Good girl.. kidole moja haivunji chawaaa.. ukuje tuunganisje maguvu
mie huyu.. itume tena.. data zilijifuta 😊😊Aisee itakuwa umefuta namba 😬😬
Nimekutumia PM 😊😊Nifanyie wepesi wa picha basi mkuu yaani mda wote nachatika bila picha 😬😬
alafu na siku sijaona ka picha kako 🤗Nifanyie wepesi wa picha basi mkuu yaani mda wote nachatika bila picha 😬😬
Ni muamala au picha mpendwa😋🥰Nimekutumia PM 😊😊
Tuone picha yenu ya pamojaAnne wee ni chizi ujue

Mbona umeng'ang'ania sana hapoExactly na ndicho ninachowashangaa hawa wanaume wa kiafrika! Huwa wanaassume kwamba mwanamke ukifika umri fulani hujaolewa basi utakuwa na mkosi na utakuwa malaya tu hivyo hata pale makao makuu mlango utakuwa umeongezeka ukubwa!



DuhTatizo ni wanaume wote mko na hiyo mitazamo! Ukitaka kuamini uliza kama kuna mwanaume ambaye yuko tayari kuoa au kuwa na mahusiano serious na mwanamke aliyejaza coaster!
vyotee bwana 😊😊Ni muamala au picha mpendwa😋🥰
😂😂😂😂Ni notions za watu wasiojielewa tu, sio kila mtu ataoa/ataolewa. Halafu kuna watu wana maamuzi yao tofauti na wengine, mbona wewe umesema kubanjuana sio mambo yakounataka tukuchukulie wa tofauti?
Nashukuru muamala umesoma u barikiwe sana we Mwanaume na Asante kwa picha😍😬vyotee bwana 😊😊
kengele ya hatari imelia kwenye fuvu la kichwa
hebu aje kwanza Tinsley akirudi nami nitafuata
![]()
