CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Sure anaitwa gift, yuko hapo NIT.Na wewe tena![]()




Kwani kuna habari gani?!!JF!!!
JF!!!
JF!!!
nimeita mara 3. Nasema hivi hii app inakoelekea watu watatoana damu, mie yangu macho tyuuh.
Huu ni mtori, tunywe mchuzi, nyama ziko chini.
Ni angalizo tyuuh.






!!!Piganeni
Mshindi aje nimpe yoghurt
kama hamuwezi kupigana basi ishini kinafki. Kwani si ni life tu na process zake
Naingilia kumbe unanisema miewaaa
Nitakujia ndotoni nikunyonge.



kwa kweli maisha bila unaafiki hayaendi!!Umesahau,, lack of government support




nshasahau mie. kwa kweli maisha bila unaafiki hayaendi!!
Yaani sielewi ghafla naona hali ya hewa imechafuka
Nawaambia hivi kama vipi wanikodi miyee niwafurahishie mtu !!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app







Kawaida tyuuh.
Block mtuuu!mi nshablock sana watu I don't buy shiitsasa unafiki km hatuwezi?
Tufanyaje?
The so called wanaume,, maaaan that hurtsNdiyo mshangaane ninyi wanaume mnaosema zinatanuka wakati siku zote ziko elastic! Nimekazia hapo sababu huwa nachukia nikikuta wanawake tunasemwa na the so called wanaume hasa kwenye suala la maumbile na ngono ambayo mnafanya wote!

Block mtuuu!mi nshablock sana watu I don't buy shiit
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



kwa kweli yaanUnataka kuchora madoti doti
Sielewi ujue nilikua ntume picha nakuta coca kashuka kigazeti cha raiUnataka kuchora madoti doti
Weka picha banaSielewi ujue nilikua ntume picha nakuta coca kashuka kigazeti cha rai
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Vipanga hao,, sie wa kuvuta bangi nyuma ya shule tulikuwa na point 5 tunshasahau mie.
Somo la history na civics nilikua sipendi khaaah.
Walimu wa somo husika niliwachukia, japo 4m 4 nilipata yote B.
Nkibadili muandiko hata wewe huwezi nijua,, ninja modeWhaaaaaaaaaaaat.![]()
Kila mtu na uchaguzi wake tu!Si ndiyo huwa mnasema hawana akili? Kwamba mwanaume anayejielewa mwenye akili timamu hawezi kuoa mwanamke "muuzaji"!