Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umefanya nipate hamu ya kula Parachichi Jioni hii, unaambiwa sisi wazee unapokula haya matunda yanasaidia tusishambuliwe na maradhi ya moyo😋😋
Litafute ulikule babu akee, uishi miaka mingi 🤪
 
Hii dhana au katabia ka jamii kumuona Mwanamke akifika umri fulani anastahili kuolewa ina sababisha ndoa za ajabu katika jamii yaani naolewa kwa sababu jamii itanicheka
Exactly na ndicho ninachowashangaa hawa wanaume wa kiafrika! Huwa wanaassume kwamba mwanamke ukifika umri fulani hujaolewa basi utakuwa na mkosi na utakuwa malaya tu hivyo hata pale makao makuu mlango utakuwa umeongezeka ukubwa!
 
Exactly na ndicho ninachowashangaa hawa wanaume wa kiafrika! Huwa wanaassume kwamba mwanamke ukifika umri fulani hujaolewa basi utakuwa na mkosi na utakuwa malaya tu hivyo hata pale makao makuu mlango utakuwa umeongezeka ukubwa!
Jamii zimebadirika Lovelucky. mitazamo imebadirika watu hawapo kama zamani. Kuo na kuolewa ni neema na huruma za Mungu. Wanaume wote au jamii zote hazina hiyo fikra
 
Ni notions za watu wasiojielewa tu, sio kila mtu ataoa/ataolewa. Halafu kuna watu wana maamuzi yao tofauti na wengine, mbona wewe umesema kubanjuana sio mambo yakounataka tukuchukulie wa tofauti?
Tatizo ni wanaume wote mko na hiyo mitazamo! Ukitaka kuamini uliza kama kuna mwanaume ambaye yuko tayari kuoa au kuwa na mahusiano serious na mwanamke aliyejaza coaster!
 
Back
Top Bottom