Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
Itakuwa raha mustarehe. Ondoa shaka 😂Kwamba itakuwaje ?![]()
Itakuwa raha mustarehe. Ondoa shaka 😂Kwamba itakuwaje ?![]()
Mrejesho utapatikana kwenye uzi wa Rik...Usiache kutupa mrejesho jamani![]()
OkItakuwa raha mustarehe. Ondoa shaka![]()
Safi kabisa msituni ni salama zaidi ya huko mijini kwenu.. toeni mashaka 😀😀Naweza hata kulala kwenye msituView attachment 2166193
Nakuunga mkono UncleSafi kabisa msituni ni salama zaidi ya huko mijini kwenu.. toeni mashaka![]()
Mrejesho utapatikana kwenye uzi wa Rik...


Guys hii ni chitchat jamaniKabla hata hajatoka porini![]()
Guys hii ni chitchat jamani
Y'all acting weird ,mnaweka mambo hayo ya kimasihara .
Usiogope tunaiata na bima ya maisha likitokea lolote bima itafanya yake

sawa bwanaMimi na uwoga wangu huu siwezi kuishi mahali hapo hakuna hata jirani 🤔Nuzulati Tinsley Strawbella .. kanyumba ka wageni hako ndio mtapofikia.. baada ya matembeziView attachment 2166192
Kabisa 😀😀Kabla hata hajatoka porini![]()
Nuzulati Tinsley Strawbella .. kanyumba ka wageni hako ndio mtapofikia.. baada ya matembeziView attachment 2166192

hapa kuna tembo na ma mnyani na mie 😀😀 njoo bwana tuwinde pamojaHamna simba hapo![]()
si utakuwa na mie 😊😊Mimi na uwoga wangu huu siwezi kuishi mahali hapo hakuna hata jirani 🤔
kwaiyo unakuja au Fortnox akupitie.. weekend moja..sawa bwana
Mkuu una shamba nzuri unaliacha liote majani hivyo niazime mimi nije kulima mihogo ☹️hapa kuna tembo na ma mnyani na mie 😀😀 njoo bwana tuwinde pamoja