Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

shida ni kutojua unae date nae au ku hang nae upeo wake,Kasoro yenu wadada n 1 tu

mkipenda mnapenda haswaaa mnaingia kiwiliwili mpk kiwiko mpk visigino vyote unadumbukia

huo tu ndio udhaifu wenu,mnapopenda kuna mambo ya privacy mnayasahau mnayaacha nyuma

Unapoenda have fun mahali yoyote nadhani ukitoka pale habari za pale unaziacha pale pale

sex si jambo la kwenda simuliana ilikua hv ilikua vile alikuja hv alikuja vile,as long as umeshakata kiu yako

sepa quitely muache aseme huko huna thamani,kwanza unamskia saa ngapi akisema wakat ushayeyuka.

ni sawa na mtu akutukane matusi ya nguoni halafu anakutukana kwa kikabila chao,hivi utaumia kabsaaa?!!
Sawa controla nimekusoma! Ila ni vizuri wanaume mkibadilisha hiyo mitazamo yenu juu ya wanawake kwa sababu ni wanaume wote mko na hiyo mitazamo hata kama wengine hamuoneshi!
 
Hizi habari nahisi mda wangu ushapita Saint Anne, vijana ni zamu yenu sasa! Yaani kwa uzee huu kupendwa labda pesa ihusike, pesa yenyewe sina...basi tuwaachie vijana na wazee wenye pesa.
Juzi ulisema wanaume mmeumbwa mateso
Mateso kwa mwanamke asiyekupenda,,ila Kwa aliyekuelewa ni mserereko tu mambo yanajipa.
 
Back
Top Bottom