Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Ni furaha tu ya macho Boss Lady hakuna kingine
muone neeema ili mgundue nini sasa Msukuma nawewe!!

Ni furaha tu ya macho Boss Lady hakuna kingine
muone neeema ili mgundue nini sasa Msukuma nawewe!!

ticha sijaona maajabu.. ambayo watu wameona
Ahaa kumbe! Hapo Nimekuelewa sasa.. ubarikiweNi furaha tu ya macho Boss Lady hakuna kingine![]()
Huyo ndiyo mzuri; anaongea kwa personal experience juu ya yaliyomkutaHalafu utakuta aliyeandika haya alikuwa na wake 700 na michepuko 300![]()
Saint Anne Lenie
Nyie nipo nakula wali na mlenda 🥰
Kumbe wali mlenda ni ka something ee au nina njaa zangu tu!!
Yeye kafaudu hukooo halafu wengine anapiga bit. Not fairHuyo ndiyo mzuri; anaongea kwa personal experience juu ya yaliyomkuta







Yeye kafaudu hukooo halafu wengine anapiga bit. Not fair![]()
Nataka kuingia ibadani Boss Lady. Kama unaselfika selfika sasa hivi ili nikafokasi kwenye ibada sawasawa. Vinginevyo nitakuwa na wasiwasi tu oooh sijui namisi huko Boss Lady kaachia kitu? Naweza nikakosa wokovu bure tu yaanimhmmhmm.. utakua mjamzito wewee!!
Hongera sana


Haha talk is cheap my dear controla narudia tena kwenye jamii yetu wanawake kujiachia hivyo kingono bado sana na chanzo ni ninyi wanaume hivyo wala msilaumu sanaUnampa tu huyo ambae unaona moyo ni mwepesi kwake we mpe tu kwani sh ngapi?
Halafu haendi nayo popote anakuachia ingekua ukimpa hairudishi hpo kweli ungesema utawapa wangapi
halafu kwan privacy siku hizi ni hakuna? who knows umewapa 20 30 au arobaini? we wape tuu kimasihara
kukutana mnakutania location nnje ya dunia,yani dhambi mnaenda fanyia sehemu hata Mungu hawaoni
unaongelea wananchi wa dunia na maneno yao? mimi waongee tu kwanza wataongea nn labda waongelee chogo langu...
Nataka kuingia ibadani Boss Lady. Kama unaselfika selfika sasa hivi ili nikafokasi kwenye ibada sawasawa. Vinginevyo nitakuwa na wasiwasi tu oooh sijui namisi huko Boss Lady kaachia kitu? Naweza nikakosa wokovu bure tu yaani![]()
Mimba tena 🙊 me bado mtotomhmmhmm.. utakua mjamzito wewee!!🤣🤣🤣
Hongera sana
Ni ka samsing kasweet mno😋😋Saint Anne Lenie
Nyie nipo nakula wali na mlenda 🥰
Kumbe wali mlenda ni ka something ee au nina njaa zangu tu!!
Mimba tename bado mtoto
Ila unatelemka ujuenikitaka kutafutana tu haupo ushashuka







Haha unafikiri sisi tuna shida na hao walioko nje ya hiyo noah hao wala hawaumizi kichwa! Shida ni hao uliowapakia kwenye hiyo noah watakapoanza kukudharau na kukudhalilisha kitu ambacho inabidi tu uwe mpole sababu ni kweli "wanakujua" na si unajua vile dharau za mtu "anayekujua" zinavyoumiza!Unajaza Noah yako then unatulia kimya kama sio wewe vile![]()
Nimeyarudia maisha ya mwanzo wakati najiunga jf.Siku hizi umekuwa kimya sana![]()
🤣Hahahaa... preg ni baraka unazaa zako mapema unakula maisha tu!!Mimba tena 🙊 me bado mtoto
Ila unatelemka ujue 🤣 nikitaka kutafutana tu haupo ushashuka
Sio ajabu hata kidogo mkuu, kwa mwanamke ku-date 5-10 men hadi kufikia 30yrs ni kawaida tu kwa sasa. Kwanza wanaume hawana mda wa kuwasema wadada siku hizi.Haha unafikiri sisi tuna shida na hao walioko nje ya hiyo noah hao wala hawaumizi kichwa! Shida ni hao uliowapakia kwenye hiyo noah watakapoanza kukudharau na kukudhalilisha kitu ambacho inabidi tu uwe mpole sababu ni kweli "wanakujua" na si unajua vile dharau za mtu "anayekujua" zinavyoumiza!