Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

JF!!!
JF!!!
JF!!!

nimeita mara 3. Nasema hivi hii app inakoelekea watu watatoana damu, mie yangu macho tyuuh.

Huu ni mtori, tunywe mchuzi, nyama ziko chini.
Ni angalizo tyuuh.
Piganeni
Mshindi aje nimpe yoghurt

kama hamuwezi kupigana basi ishini kinafki. Kwani si ni life tu na process zake😎

Naingilia kumbe unanisema mie 🤣 waaa
Nitakujia ndotoni nikunyonge.
 
Kimasiraha.. unatakiwa ku perform ili uwe kikosi A.. shida ya kimasihara ukicheza chini ya kiwango kocha anakupiga bench tena
Simple tu badilisheni mitazamo yenu juu ya huo utofauti (ambao hauna uhalisia) mliouweka kwenye ngono kati ya mwanaume na mwanamke! Vinginevyo endeleeni kulalamika kuwa mnabaniwa!
 
Yaani haiwezekani watu mpeane vizuri tu kiutu uzima halafu mkitoka hapo wanaume mnakuja na zile lugha zenu utasikia eti mwanamke ukishamkojolea hana thamani tena aseee
shida ni kutojua unae date nae au ku hang nae upeo wake,Kasoro yenu wadada n 1 tu

mkipenda mnapenda haswaaa mnaingia kiwiliwili mpk kiwiko mpk visigino vyote unadumbukia

huo tu ndio udhaifu wenu,mnapopenda kuna mambo ya privacy mnayasahau mnayaacha nyuma

Unapoenda have fun mahali yoyote nadhani ukitoka pale habari za pale unaziacha pale pale

sex si jambo la kwenda simuliana ilikua hv ilikua vile alikuja hv alikuja vile,as long as umeshakata kiu yako

sepa quitely muache aseme huko huna thamani,kwanza unamskia saa ngapi akisema wakat ushayeyuka.

ni sawa na mtu akutukane matusi ya nguoni halafu anakutukana kwa kikabila chao,hivi utaumia kabsaaa?!!
 
Sio ajabu hata kidogo mkuu, kwa mwanamke ku-date 5-10 men hadi kufikia 30yrs ni kawaida tu kwa sasa. Kwanza wanaume hawana mda wa kuwasema wadada siku hizi.
Sasa kwa mtindo huo tukisema eti mwanamke ampe kimasihara kila mwanaume ambaye ni rafiki yake hadi kufikia miaka 30 unafikiri idadi itakuwa ni hiyo 10? Kwamba mwanamke hadi anafikia miaka 30 atakuwa na marafiki 10 tu wa kiume eti?
 
Simple tu badilisheni mitazamo yenu juu ya huo utofauti (ambao hauna uhalisia) mliouweka kwenye ngono kati ya mwanaume na mwanamke! Vinginevyo endeleeni kulalamika kuwa mnabaniwa!
😁😁😁 Love you my sweetheart sister.. kazia hapo hapo.. uje umpee mmoja tu mwenye akili njema, tabia njema.. ila hata humu wapo.. sema kujua hii na ile ndio mtihani.. But palipo na kibaya kizuri kipo.. bahati nzuri sijawai bahatisha gori la jf.. siku nikiotea nitatangaza hatari
 
Back
Top Bottom