cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,287
Unampa tu huyo ambae unaona moyo ni mwepesi kwake we mpe tu kwani sh ngapi?
Halafu haendi nayo popote anakuachia ingekua ukimpa hairudishi hpo kweli ungesema utawapa wangapi
halafu kwan privacy siku hizi ni hakuna? who knows umewapa 20 30 au arobaini? we wape tuu kimasihara
kukutana mnakutania location nnje ya dunia,yani dhambi mnaenda fanyia sehemu hata Mungu hawaoni
unaongelea wananchi wa dunia na maneno yao? mimi waongee tu kwanza wataongea nn labda waongelee chogo langu...









