Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Yani..ni huzuni kwakweli
Yani..ni huzuni kwakweli
Kabisa!maana wapo waliooa wapenzi wao wa utotoni na wakatendwa wapo wamekutana badoo wakaoana.Africa ndo mpk Leo tuna mambo za kukutana kitaa au vijijini wenzetu na ubusy wa kazi ht jirani hana wanapata wenza social media na wanaisho vzr tuMimi naamini mpenzi sahihi ama kinyume chake anapatikana popote...Kasisitiza tuwe makini yupo sahihi lakini nimuambie kwamba umakini unahitajika pia hata nje huko sio JF tu.
Nimeweka picha umeona kokaKabisaaa umemalizaaa.![]()
Nimeiwahi yaan





"Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani"Duh! Pamekucha...
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
mambo gani haya pastor
Rudia bina nikasali mimi
Muambie wewe!mi nshachoka kusema!!ila najua jf watu wapo wamezaa na kuoana kwa ushahidi wa picha kabisa kuna kapo km sio mwaka wa 16 huu wako ndoani basi wa 15 hao nawajua walintimuia mpk picha zao,acha mahusiano mengine yanayoendelea mpk kuzaa humu yapo pia!
Wanaoona jf ni kupoteza muda waone tu ila mi napaheshimu sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
haya sawaEndelea na ibadaRudia bina nikasali mimi


imekaa 3minsNime date na wanawake tofaut toka JF na tuka achana ila hatukuachana kisa walikua magume gume,no way Kuna mambo tu tulikubaliana kwa pamoja kutokubaliana,so we are friends And Perfect Friends (kuna mmoja anapenda sana ni surprise) anajijua...Kwako aseehh!na aina ya magumegume unayoyapata
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
reymage
Mlongo nimekuona leo ukiwa class,
Aiseeeh uko bomba sanaa, afu kumbe unatumia kushoto
Love it.







Ameen !!;Mungu akubarikiNime date na wanawake tofaut toka JF na tuka achana ila hatukuachana kisa walikua magume gume,no way Kuna mambo tu tulikubaliana kwa pamoja kutokubaliana,so we are friends And Perfect Friends (kuna mmoja anapenda sana ni surprise) anajijua...
nina list ya perfect lovers toka hapa hapa JF ila mzinguaji ni mimi,wajua eeeh sio wao(ni mrafki zangu up to date) Wanasoma hii comment.
Sikurupukagi ninapo select someone wa kumvulia nguo zangu aone utupu wangu,huwa natumia Degree zote za darasani na za Duniani, hivyo sijawahi date gume gume (never).
so reymage comment zangu za nyuma ni reference toka kwa maswaiba ya watu ninayoyaona kuptia thread mbali mbali ila sio reference toka kwangu,Hapa naandika am in a relation na sweet manka toka humu humu JF naomba tu Mungu nyoka asinidanganye round hiii maana na mimi..
🤣JF Hoyeeeeeeeeeeeeh.
Watu wanazagamuana tyuuh, ni mwendo wa foleni tyuuh.
Akishuka huyu yule anapanda, akipanda yule huyu anashuka.
Hahahahah akaaaah sitakiii. Lol
Unauliza Vifo Ukraine?Kwahiyo Genta hatuna thamani😹😹😹
Tusiotajwa humu ndani tuna hali ngumu mno.Unauliza Vifo Ukraine?
Hahaha!mzee usiku unakula kishikaji tu.Mzee unakula mboga utashiba kweli? Ugali uko wapi sasa
Hamjakatazwa na Mtu yoyote Kujinyonga.Tusiotajwa humu ndani tuna hali ngumu mno.
Mara ya mwisho kutongoza sijui ilikua 2014 ile kama sikosei,Haimaanishi sijawahi kuwa na mpenzi tangu huko, ila nilikuja gundua Kupitia "urafiki" kila kitu hupatikana ndani yake.Haha hivi kwani urafiki wa kawaida tu huwa hamuuwezi? Yaani mngejua vile wengine tunawaheshimu hata mkiwa marafiki zetu tu wala msingekuwa mnajisumbua kutupiga sound wanawake wengi ili mprove uanaume wenu kama wenyewe mnavyosemaga!
Unasumu hapo kujinyonga nitapitia mateso sanaHamjakatazwa na Mtu yoyote Kujinyonga.
Now this is what we call Dark Humor 😄Hamjakatazwa na Mtu yoyote Kujinyonga.