hahahaaa...39/40 shem....🤣🤣Kiatu unachovaa shem![]()
RudiaKutokelezea ndo kawaida yangu.
Afu mie nna pigo na swagzz za mambele.
mahondaw shouz mie muongo kwan? Sema umepitwa hujaona lol
![]()
Mmemuona Mwananchi wana Selfikaaaaaaa😂 Tuwekee picha yako Gentamycine... tuone tuvidole twako😜Ukiona hutajwi tajwi JamiiForums jua si tu kwamba huna faida hapa duniani bali hata kule Sebuleni Kwake Baba Muumba ( Mungu ) pia hutambuliki na hauna Thamani yoyote.
Ujivunie a man/woman from selfika,sishauri kabisa na recommend huu uzi kwa wanaotafuta Marafiki wale wa chitchat,not otherwise.Hongera mkuu umeandika kwa marefu na mapana yake, umegusa kila kona, kikubwa uzima tu lakini mapenzi ya huku ni pasua kichwa kweli, unaweza kupata mtu wako huku ukajivunia nae kumbe wadau wanakuchora tu walisha pita nae kitambo.
Ngoja tuendelee kuona , miji mikubwa hii!
Pm ntakupa.Kweli kabisa shos ila sijaona please irudie dakika sifuri shos
Mmhh!!kwa nini?wasema hvyo?Ujivunie a man/woman from selfika,sishauri kabisa na recommend huu uzi kwa wanaotafuta Marafiki wale wa chitchat,not otherwise.
unasaka mpenzi mkadakana wote kwenye huu uzi,basi makesure una spea tairi (usije tuabisha kwa machozi huko mbeleni) i guess huu uzi umekaa kimasihara masihara sana,ukiuchukulia serious Shauri lako.
ingia hapa kurefresh,kuzingua,kutania, have fun ujiskiavyo After hapo log out muachie mshana uzi wake,sasa jipendekezeni mko serious sanaaaa muhamie na whatsapp mka video call kbsa..
Sema i love this ka uzi,kwasababu (as i said) people are genuine, Sema mdada akinpenda mimi ni mkweli jamani. (nina wake wa 5 na watoto 6) lets all be clear to each other Uongo Mwikooo
Tatizo dini tu mkuu, lakini pia aina za wanawake siku hizi unaweza kua umekimbia mkojo kule kwa bi mkubwa na kukimbilia mavi kwa bi mdogo.





basi tuliza pumbu hizo kwa mkeo.



wacha weeMapenzi ya kweli humu yapo, ni kanuni na misingi na taratibu kuzifuata, kila kitu kitakua sawa.Ujivunie a man/woman from selfika,sishauri kabisa na recommend huu uzi kwa wanaotafuta Marafiki wale wa chitchat,not otherwise.
unasaka mpenzi mkadakana wote kwenye huu uzi,basi makesure una spea tairi (usije tuabisha kwa machozi huko mbeleni) i guess huu uzi umekaa kimasihara masihara sana,ukiuchukulia serious Shauri lako.
ingia hapa kurefresh,kuzingua,kutania, have fun ujiskiavyo After hapo log out muachie mshana uzi wake,sasa jipendekezeni mko serious sanaaaa muhamie na whatsapp mka video call kbsa..
Sema i love this ka uzi,kwasababu (as i said) people are genuine, Sema mdada akinpenda mimi ni mkweli jamani. (nina wake wa 5 na watoto 6) lets all be clear to each other Uongo Mwikooo
TUCHAT zetu,ukikua utayaona mjukuu wangu Bado asubuhi sanaa😅
Ni kweli sio kwamba hayapo ktk 100% kuna 2% tu,nadhani hao wanaofunga ndoa wametoka kwenye zile 2% sio kwamba hakuna kbsa eti Sifuri hapanaaa, Watu wanapata wenzi wa maisha kwenye uzi wa "kula tunda kimasihara" sembuse huu wa selfika!Watu wanafunga ndoa na kuanza maisha kupitia selfika.
Mcheki Teacher Konde, Mkuu.kho kho khoooo, kifua hikiiii (nani anaweza nishauri dawa nzuri ya kwa mtu anaekohoa)