Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kweli sio kwamba hayapo ktk 100% kuna 2% tu,nadhani hao wanaofunga ndoa wametoka kwenye zile 2% sio kwamba hakuna kbsa eti Sifuri hapanaaa, Watu wanapata wenzi wa maisha kwenye uzi wa "kula tunda kimasihara" sembuse huu wa selfika!
Hapo sasa yaan,
 
kuna sababu nyingi sana kwann ukila unaonjaga na huli kama kina sie Rundo la msosi,

Una check point nyingi sana barabarani kabla hujafika final destination,yani una vituo vya kujaza

mafuta vya kutosha kiasi kwamba gari ikifika mwisho wa safari ikipigwa hata robo lita tank lipo Full
 
Amapiano naelewa sana hii versee

maana huwa tuna switch viwanja tu

Oya lagaligila (Fresh!)
Ifungwe counter ifungwe bar (Fresh!)
Si hatulali jama (Fresh!)
Na wakifunga tunahama (Fresh!) (Fresh!)

Oya lagaligila (Fresh!)
Ifungwe counter ifungwe bar (Fresh!)
Si hatulali jama (Fresh!)
Na wakifunga tunahama (Fresh!)
Mzee mwenzangu umetekwa na amapiano sasa😂🤣🤣
 
Hata nikiondokewa na mpendwa wangu, Tena mali zangu zote zijapo potea, Usiniache nimekutegemea Bwana wangu, Unishike kwa mkono wako ewe Yesu,

Minajua hiyo ni moja ya mapito yangu,
Kwa huruma zako utanipa tena maradufu, Oh! Yesu

Ninachojua mimi Bwana, Hautanicha kamwe,
Nikipita kwenye shida, Hautaniacha kamwe,
Na jamii ikinitenga, Hautanicha kamwe, Marafiki wakimbie, Hautaniacha kamwe Hata mume aniache, Hautaniacha peke yangu,
Na mke wangu akimbie, Hautaniacha kamwe,
Wazazi wangu wanifukuze mimi, Hautanicha kamwe,
Kazini wanifukuze, Hautanicha kamwe,
Na fitina nifanyiwe, Hautanipungukia Bwana,
Hata uongo ninenewe, Hautaniacha peke yangu niaibike Bwana,
Oh! Yesu.
 
Mapenzi ya kweli humu yapo, ni kanuni na misingi na taratibu kuzifuata, kila kitu kitakua sawa.

Watu wanafunga ndoa na kuanza maisha kupitia selfika.
Muambie wewe!mi nshachoka kusema!!ila najua jf watu wapo wamezaa na kuoana kwa ushahidi wa picha kabisa kuna kapo km sio mwaka wa 16 huu wako ndoani basi wa 15 hao nawajua walintimuia mpk picha zao,acha mahusiano mengine yanayoendelea mpk kuzaa humu yapo pia!

Wanaoona jf ni kupoteza muda waone tu ila mi napaheshimu sana

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Muambie wewe!mi nshachoka kusema!!ila najua jf watu wapo wamezaa na kuoana kwa ushahidi wa picha kabisa kuna kapo km sio mwaka wa 16 huu wako ndoani basi wa 15 hao nawajua walintimuia mpk picha zao,acha mahusiano mengine yanayoendelea mpk kuzaa humu yapo pia!

Wanaoona jf ni kupoteza muda waone tu ila mi napaheshimu sana

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kabisaaa umemalizaaa.
 
Back
Top Bottom