CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Haipo hiyo mateafu sio hivyo yaan. Niamini mie eti.
♥️♥️♥️♥️😘😘
Woooow!!!!
Naaaaammmm shem!!Shemeji kama shemeji![]()
Mate next week nakuja college kwenu
Sema umetokelezeakaribu sanaaa.

njema sana ShemHabari za ahsubuh![]()
Hahahaaa !! Size yanini shemSize namba ngapi![]()
Unaongelea Size ya nini lakini??Yeeeyooo size jamani size![]()
Mambele wapi na weweKutokelezea ndo kawaida yangu.
Afu mie nna pigo na swagzz za mambele.
mahondaw shouz mie muongo kwan? Sema umepitwa hujaona lol
![]()

umeanzaKiatu unachovaa shemUnaongelea Size ya nini lakini??

Tatizo dini tu mkuu, lakini pia aina za wanawake siku hizi unaweza kua umekimbia mkojo kule kwa bi mkubwa na kukimbilia mavi kwa bi mdogo.Mchepuko hujamuoa na wala huna hati miliki nae, ila mke mdogo ni halali yako na umemuoa.