Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

They are stupid
Mnoo!I have male friends nimewapata humu hawajawahi hata kuonesha dalili za kutongoza hata siku moja na wengine ukiwakataa wanaelewa sana tu na heshima inabaki pale pale mnapeana michongo mingine tu!!
Kuna wale wanaamini mitandaoni ndo kuna mabinti wanapatikana kirahisi wkati sio kweli

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
IMG_20220326_143013_843.jpg

Waswahili wanasema Kaa mbele uwahi kufika, ngoja nijaribu leo kama nitawahi 🤪🤪🤪🤪🤪🤪

Happy Saturday to you all 🥂
 
Mnoo!I have male friends nimewapata humu hawajawahi hata kuonesha dalili za kutongoza hata siku moja na wengine ukiwakataa wanaelewa sana tu na heshima inabaki pale pale mnapeana michongo mingine tu!!
Kuna wale wanaamini mitandaoni ndo kuna mabinti wanapatikana kirahisi wkati sio kweli

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Pole
 
Nimekuelewa tangu mwanzoni; but I was trying to say kuwa kuna exceptions. Kuna mtu anakutreat tu nicely, unaweza ukahisi na kutamani kabisa mtongozo wake; ila usiusikie kamwe; au akasubiri hadi siku mmeonana ndiyo akakufungukia. Na kuna wale wajinga wachache ambao approaches zao tu zinakufanya uwalime block.

Point yangu ilikuwa kuna wakati itakubidi usubiri mtu atamke ndiyo umwambie you are not interested, au kama itatokea kwenye stories mtaongelea mahusiano then unaweza kumpa hint au kwa wenye zile approaches zao za kidwanzi; wale unawachana tu hapohapo
Kina kina sisi ambao ku-flirt ni sehemu ya nature yetu...basi mtu akija kizembe anajua usha catch feelings.
 
Nadhani Maxence Melo ungeongeza ktk list ya Emoj ukaweka na ile emoj ya kujilamba

ile ya mshangao (wow) ipishe kidogo ije hii emoj😋 maana kuna watu hawajali kbsa kuwa

kuna wengine tumetoka kula ugali na kabichi
Sasa mbona nautamani ugali kabichi wako CONTROLA ....ila iwe imechanganywa na nyama yenye mafuta kidogo.🤤🤤🤤
 
Back
Top Bottom