Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thursday si bado haijaisha....🙃
20210318_185326.jpg
20210318_185412.jpg
20210318_185517.jpg
 
Fan? Au zinaleta mafua

Sleep wizaut lingarie or na birth suit, joto utalisikia redioni
Natumia pangaboy 24 hrs feni inazunguka
Ila hewa ya nje pia ina umuhimu..
Feni pekeyake inaniletea kifua😒

Muda wote najiloweka bafuni..nikija najitupa kitandani napulizwa na feni hadi najisikia vizuri.
Kuna mikoa tumevamia tu..haitufai
 
Kamata hii shem lake.

Kwa vile wewe ni mzazi wao, watoto wanaweza wakakupenda na kukuheshimu sana lakini wakawa wamekuzoea. Hata ukiwapa ushauri na nasaha za maana sana wanaona tu ni kawaida na hawatilii maanani kivile. Mama ndo kawaida zake!

Pamoja na kwamba ni jukumu lako kama mama yao kuwaombea kila siku na kuhakikisha wanakua katika misingi sahihi ya kiMungu lakini pia siyo vibaya ukiwa na watu wa nje wachache unaowaamini mkawa mnasaidiana nao katika kuwapa mawaidha na miongozo hasa kipindi hiki kigumu na cha hatari wanachoingia utineja. Anaweza kuwa dada yako au rafiki yako mliyeshibana sana. Wanakwenda huko na kusikia sauti nyingine hata kama ni mawaidha yale yale, lakini kwa mtazamo tofauti. Inasaidia sana lakini hakikisha ni watu unaowaamini sana ndo wanakuwa na access na akina Minza wetu.

Kuna kipindi binti yangu alinigomea kabisa kabisa. Yaani nikimshauri, kwa vile ni mimi baba yake, anaona kama namboa tu. Naona ni stage fulani hivi huwa wanafikia yaani hawataki kabisa kusikia sauti ya mzazi. Utasikia oooh boy here comes the lecture!...na macho wanakuzungushia. Basi nikamtuma kwa rafiki yangu wa kike nikamwambia bwana eeh hebu nisaidie hapa. Wiki moja aliporudi amekubaliana na kila kitu alichoshauriwa kule wakati ni kitu kile kile nilichokuwa namshauri mimi. Hata mimi nilishashauri watoto wengi wa ndugu na marafiki; na wakanisikiliza mimi na kufuata ushauri wangu kuliko wa wazazi wao - kumbe mimi na wazazi wao letu moja!
Ahsante shem akee!!!nashukuru sana kwa ushauri wako ntauzingatia sana!yaani unalosema ni sahihi kabisaa nakuunga mkono kabisaa!!!ntafanya hvyo sana!
Ubarikiwe mnoo kwa nasaha zako
 
Yeah nilisema ila natengua kauli baada ya kusoma mahali kuwa mbinguni tutapewa miili mipya

Hiyo hiyo mradi ikiwekwa sukari inabamba

Kuna sehemu ipo Moshi niliona kwa tv panaitwa Maji moto (sijui pana jina lingine) watu wanaogelea nikapapenda mazingira yake so ndio nataka nikija niende hapo nikapunguze stress
Pale Boma

Uta enjoy sana
 
Back
Top Bottom