Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
TuoneOkay, nimeona ,chini ni ya kawaida tu,penseli
Style ni ya juu tu hapo!
Chini utaweka unavyotaka
TuoneOkay, nimeona ,chini ni ya kawaida tu,penseli
Style ni ya juu tu hapo!
Chini utaweka unavyotaka
Binti Abiudi itakuwa ana upako huyuMmh Leo umeamkia wapi; maana wewe unapenda tu nyeupe na nyeusi![]()
Yawezekana kaka ameopoa chombo ya Naijeria na hasemiNilikuwa navuta picha nilishakuwa na shot ya huo Mshono; ndiyo nikawa nakumbukia hapa who was the lady . Ningeenda kuitafuta nikuone sura; but kama sikosei alikuwa mnigeria

Equator itakufaa
Ni utoto tu huoSio shy,, ila inaniwia ngumu kuongea na nyie public especially kama hatufahamiani vizuri
Mkurugenzi wetu majoblessEquator itakufaa
Au Samali Lodge
Ila ungeweza kumudu 30k kwa Dom unawezapata lodge nzuri kidogo mfn Teddy Lodge, Okaoni, nk

Hiki cheo kipya hikiMkurugenzi wetu majobless
Nakuona unamwaga ushauri![]()
Haukipendi kwani muhisani wetu?Hiki cheo kipya hiki
Dah.........
Napanda daraja kila kukicha 🙌
Tuongeze weight? Sio wewe uliyeniambi ni maintain hizi kilo 12!?Nitakupeleka lazima, tukale tuongeze weight😋
Kumbe hua unatengeneza mwenyewe mtindi, good girl.
Tengeneza mwingi nikuje kunywa na mie, naona safari ya huko soon inanukia😛
Ulimisika mnoooo 😘😘!!
Miss you too dear😍😘Ulimisika mnoooo 😘😘!!
Sante sana ! sasa bado lile shepu letu mattatta sana
Chief nilitenga hadi 50k Lodge zimejaa, wageni wengiEquator itakufaa
Au Samali Lodge
Ila ungeweza kumudu 30k kwa Dom unawezapata lodge nzuri kidogo mfn Teddy Lodge, Okaoni, nk
Kumbe Jana umetupiga kamba za wazi kabisa na hiki ndicho kidole gumba uchosema kina kucha mbaya

Nina hakika mkono wa boss ledi utakuwa hatari na roboUlimisika mnoooo!!
Sante sana ! sasa bado lile shepu letu mattatta sana
Kumbe Jana umetupiga kamba za wazi kabisa na hiki ndicho kidole gumba uchosema kina kucha mbaya![]()
Watu wabaya sanaUmemuona eeh?

Yeah nilisema ila natengua kauli baada ya kusoma mahali kuwa mbinguni tutapewa miili mipya😂Tuongeze weight? Sio wewe uliyeniambi ni maintain hizi kilo 12!?
Actually sio pure mtindi maana natumia flavor 😋
Moshi?? Au au au ai weweeee 🤪🏃♀️
Hukuniuliza vizuri dogo 🤣🤣Kumbe Jana umetupiga kamba za wazi kabisa na hiki ndicho kidole gumba uchosema kina kucha mbaya![]()