Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
ππππππ΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«
ππππππ΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«
Dogo jirudie tu kwenu iwambi kipupwe natural toka mlima mbeyaNatumia pangaboy 24 hrs feni inazunguka
Ila hewa ya nje pia ina umuhimu..
Feni pekeyake inaniletea kifua
Muda wote najiloweka bafuni..nikija najitupa kitandani napulizwa na feni hadi najisikia vizuri.
Kuna mikoa tumevamia tu..haitufai
Yaani boss ledi hata ukivaa gunia utapendeza.Na wana selfika pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Binafsi siwezi kosaa weeeehhh!!
Kabisa yanii nitaongea na mama ma mchungaji Heaven Sent hii sekta anaitendea haki vizuri kabisa!


Hajui tuAlright mate sijakuona![]()


Kwa kweliDogo jirudie tu kwenu iwambi kipupwe natural toka mlima mbeya

ππ Nahisi naweza kuwa naja mala kwa mala kutokea Mahenge to ukanda huo ni karibu sanaaaππ@9.8ms squared wew nawe hujawai kuja southern highlands matema beach is the best place to visit ,, Ngoja mvua ziishe Lizzy mwezi wa 6-10 peak time
π€£π€£π€£π€£π€£Yaani boss ledi hata ukivaa gunia utapendeza.
Sipati picha sasa mama mchungaji akikumechishia rangi![]()
Unanitamanisha....π€―π€―@9.8ms squared wew nawe hujawai kuja southern highlands matema beach is the best place to visit ,, Ngoja mvua ziishe Lizzy mwezi wa 6-10 peak time
Wana selfika wapo ktk kundi la marafiki, jamaa na wengineo.Na wana selfika pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Binafsi siwezi kosaa weeeehhh!!
Kabisa yanii nitaongea na fashionist mama ma mchungaji Heaven Sent hii sekta anaitendea haki vizuri kabisa!




Nilale wapi bhana, badooo.Wee katoto, shule si tayari mmefungua, hujalala tu![]()




Nkamu unanenepa tako tu kwa raha zako

Yaani boss ledi hata ukivaa gunia utapendeza.
Sipati picha sasa mama mchungaji akikumechishia rangi![]()





wee MC hutaki sare yako?π€π€πππππ
SawasawaaaaWana selfika wapo ktk kundi la marafiki, jamaa na wengineo.
![]()
mwenzio kiswahili nilifeligi shos 

!Boss ledi sogeza camera pembeni kidogo tukuoneNgoja kwanza nibembeleze Aunts zako walale hapa!View attachment 2163400


Sawasawaaaamwenzio kiswahili nilifeligi shos
!





msimamizi wangu ni wee apo, jipange unajua show zangu lakini, nataka hiyo siku n matashtiti na kuchachuka noo kupoa yaan.πππ nkamu unaniua ujueπ karibu senene bado wapo au hutumii?Nkamu unanenepa tako tu kwa raha zako
Bila shaka ni wale senene
Hatunaaaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ Moshi tuna mwenyeji hatuna?