Wapi huko rafiki@Tinsley nimekuona leo

Hahahha huwezi bhanaNa kwelu uncle niache.. maana naweza nikakuharibu tabia![]()

Sioni binti mdogo hapo
Unajifunza kuharibikiwaHahahha huwezi bhana
tunajifunza kutoka kwa wakubwa

Tunachuja rafikiUnajifunza kuharibikiwa![]()
wakubwa wenyewe kama mie hasara tupuuu 😀😀Hahahha huwezi bhana
tunajifunza kutoka kwa wakubwa
Mie huyu.. 🤔🤔🤔 sikumbuki jamaniSafi za kwako mpendwa ile ahadi yetu ya kunibariki picha why hutaki kuitimiza
Nakuaminia Unclewakubwa wenyewe kama mie hasara tupuuu![]()
Angel Lizzy ungemtesa tu aisee 😀😀View attachment 2162928
Ugali huu hapo nimekata tonge Moja, nikirudia mara mbili tu Unakuwa umeisha 🤪🤪
Angekuwa Lizzy na mwenzie Saint Anne hapo lazima washindwe kumaliza 😀🏃🏃
Kumbuka basi kwa kuweka tupicha tumoja🥰Mie huyu.. 🤔🤔🤔 sikumbuki jamani
Kwakua wewe acha nitupie 😊😊Kumbuka basi kwa kuweka tupicha tumoja🥰
Ha ha ha.....Sio wa baba mmoja bwana, we jamaa vipi![]()

Nyama 🙊😋😋View attachment 2162928
Ugali huu hapo nimekata tonge Moja, nikirudia mara mbili tu Unakuwa umeisha 🤪🤪
Angekuwa Lizzy na mwenzie Saint Anne hapo lazima washindwe kumaliza 😀🏃🏃
Sahii kabisaOoh yeah
Kwa sie ambao hatuwezi mabishano ,huu uzi ni bora sana

Ha ha ha...Mkuu unalipamba neno kuchuna na kiingereza kuchuna wamesema watachunia hata panga dah
