Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni wachache mnaoiwezea kwa sababu inataka nidhamu ya hali ya juu sana. Sema vijana wanasoma soma tuvitabu tu hapa na pale wanakuwa na tamaa ya kudaunilodi pesa. Matokeo ndo kama hayo sasa.
Folex ni Risk Management, Patience.. wengi ndio maumivu yapo hapa na kutopenda elimu endelevu.. forex kila siku ni kama shule.. kama mtu hataki kujiendeleza hatoboi hata siku moja
 
Folex ni Risk Management, Patience.. wengi ndio maumivu yapo hapa na kutopenda elimu endelevu.. forex kila siku ni kama shule.. kama mtu hataki kujiendeleza hatoboi hata siku moja
Mi mwenyewe nilisoma soma vidarasa hapa nikafunguliwa na demo account na walimu tena wanajidai maprofesheno kabisa wana likampuni likuuuubwaa kuja kwenye laivu akaunti yaani maluweluwe tupu. Vihela vyangu mpaka leo vinaniumaga yaani
 
Mi mwenyewe nilisoma soma vidarasa hapa nikafunguliwa na demo account na walimu tena wanajidai maprofesheno kabisa wana likampuni likuuuubwaa kuja kwenye laivu akaunti yaani maluweluwe tupu. Vihela vyangu mpaka leo vinaniumaga yaani
😀😀😀 ila uvumilivu imenichukua zaidi ya miaka mitano.. nimepoteza hela nyingi.. ila sikuwai kata tamaa.. nilikuwa na ile spirit one day one day.. na bado nakomaa najifunza nazidi kuelewa soko one day inabaki kuwa yes
 
20220324_140901.jpg
 
Back
Top Bottom