Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani Mnyamwezi wewe basi tu...

Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo!


Screenshot_20220320-022104_Chrome.jpg


Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi?

Kwenye chai utatumia asali au sukari..?

Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...?

Bado nimekununia...😔😔😔😞.
 
View attachment 2157399

Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi?

Kwenye chai utatumia asali au sukari..?

Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...?

Bado nimekununia....
Mimi sinuniwagwi. Utajichosha tu. Unamnunia mzee wa miaka 76 ili upate nini? Laana ama?

Matoborwa na maziwa mgando kwisha kazi. Kinachofuata ni kusinzia tu yaani. Simpo laifu!
 
Back
Top Bottom