cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Haya selfika hapa wee.Naamini watoto wamelala,sasa ni wakati wa wakubwa ku selfika.
Haya selfika hapa wee.Naamini watoto wamelala,sasa ni wakati wa wakubwa ku selfika.
Ya mwanzo nilikuwa sijaona I swear. Ya pili ndo nimeona...Gojazi & Classic. Wenye pesa zao wanafaudu!Nimenuna....
Nimekasirika....
Kwahiyo ulishaona tangu ile ya kiwi cha macho cha kwanza ukajidai hujaona...
Siongei tena na wewe![]()
Hakika hiyo ndiyo kauli mbiu yetu mabaharia kama tulivtokubaliana kwenye kikao chetu cha mwisho😁😁
Bibi naomba nione kidigo na mie, uwiiiii fanya fanya bas![]()
Duuuh jomonee, mara 1 tyuuh.Pole mjukuu....
Mwenye picha zake kanijia juu nimeziweka muda mrefu watu wengi wameziona.
.
Kweli ni kitambo,Kasie kasie kasie...
Ni kitambo sasa sikuoni jamvini...
U khali gani?
Hakika Mungu ni mwema kila wakati,Kweli ni kitambo,
Mie Sijambo
Buheri wa afya..
Nashukuru kunijulia hali.
Hakika Mungu ni mwema kila wakati,
Itakua vyema kama tukiutendea haki uzi wetu pendwa,hata kwa selfie chache mpendwa.
Yaani Mnyamwezi wewe basi tu...Anza nimalizie mpendwa...
Leo niko shifti ya naiti....
Nakusubiri uanze...
Yaani Mnyamwezi wewe basi tu...
Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo!
Mimi sinuniwagwi. Utajichosha tu. Unamnunia mzee wa miaka 76 ili upate nini? Laana ama?View attachment 2157399
Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi?
Kwenye chai utatumia asali au sukari..?
Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...?
Bado nimekununia....
View attachment 2157399
Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi?
Kwenye chai utatumia asali au sukari..?
Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...?
Bado nimekununia....
hata mmbuyu ulianza kama mchicha 😃😃Weeee....huko kwa big boys kabisa???😯😯
Naaaah....bado sana aiseee!🥴
😃😃😃 Hii tanzania, kuwapima simple wapo makungwiii wazoefu watakuwa wana test mitamboTanzania hii au wapi? Watakuwa wanawapima(je)?![]()
haya mambo ndio yalifanyaga wengine tuwe na poor performance.. mnatoroka shule mnaenda mashambani kuchoma viazi au mihogo.. mnashinda huko 😀😀
Wow…unakaa mhansome loh😘😘😘😘
Naam my shemdarling wanguAcha tuibie woteView attachment 2157228